142,000 ni bei ya zamani kwa premium ongzea pesa lipa 168,000 kama unataka hicho kifurushi hiyo ndio current price ukishafanya hivyo wapigie Multichoice wakureset au kama umehama kifurushi waku-upgrade.
Namba hii hapo +255768988800 uwe na namba ya account yako pembeni ukipiga subiri uunganishwe...
Ni sahihi Sana sio rahisi kumpata akupendaye kwa dhati. Ila wapo wengi tu tatizo La wengi wetu we do expect alot toka kwa wapenzi wetu,,,expectations nyingi mno ambazo hupelekea kuvunjika mioyo
Anza kwanza kuonyesha upendo wa dhati and it will reflect kwako.
Dawa ya mapenzi ni penzi La dhati.
Unaweza kuwa single ukadhani utakuwa na furaha zaidi na kuepuka stress lakini ukikutana na couple Ina mapenzi ya dhati mpaka shetani anaogopa utatamani tu na wewe kuwa na wako.
Swala ni we binafsi kuchagua mwenza atakayekupenda kwa dhati,kukujali na kuheshimu...
Exactly
As long as she is in a battle of two,she has to save herself first ....and that's healing her own heart since nobody else will do it better than herself👌👌
Sometimes you have to lie to your heart it will eventually heal.....time covers all wounds. A BROKEN HEART IS A LEASON LEARNED. Every relationship has a beggining and endings some good some bad.
You can heal yourself just change your mind mentality on love issues.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.