Naombeni dawa ya mapenzi tafadhali

Naombeni dawa ya mapenzi tafadhali

Dawa ya mapenzi ni penzi La dhati.
Unaweza kuwa single ukadhani utakuwa na furaha zaidi na kuepuka stress lakini ukikutana na couple Ina mapenzi ya dhati mpaka shetani anaogopa utatamani tu na wewe kuwa na wako.
Swala ni we binafsi kuchagua mwenza atakayekupenda kwa dhati,kukujali na kuheshimu hisia zako.....na ww kupenda na kumjali pia.
Kazi sana kumpata mtu atakyekupenda kwa dhati,kukujali,kukuheshimu na kukuthamini hata kama una mapenzi ya dhati!!Ni shughuli pevu I surrender!!
 
Kuna mapenzi na uzinzi.watu wengi wanafanya uzinzi.kama hautaki umia oa mke wako mpendane kuliko fanya uzinzi.
 
Kazi sana kumpata mtu atakyekupenda kwa dhati,kukujali,kukuheshimu na kukuthamini hata kama una mapenzi ya dhati!!Ni shughuli pevu I surrender!!

Ni sahihi Sana sio rahisi kumpata akupendaye kwa dhati. Ila wapo wengi tu tatizo La wengi wetu we do expect alot toka kwa wapenzi wetu,,,expectations nyingi mno ambazo hupelekea kuvunjika mioyo
Anza kwanza kuonyesha upendo wa dhati and it will reflect kwako.
 
Back
Top Bottom