Naombeni dawa ya mapenzi tafadhali

Naombeni dawa ya mapenzi tafadhali

Mimi sitaki kusema mengi jaman ila kila mtu anajua mapenz yanavyozingua
hebu 2peane njia za kuinjoy mapenz bila stress!

Dawa ya mapenzi ni penzi La dhati.
Unaweza kuwa single ukadhani utakuwa na furaha zaidi na kuepuka stress lakini ukikutana na couple Ina mapenzi ya dhati mpaka shetani anaogopa utatamani tu na wewe kuwa na wako.
Swala ni we binafsi kuchagua mwenza atakayekupenda kwa dhati,kukujali na kuheshimu hisia zako.....na ww kupenda na kumjali pia.
 
Kwa wanahisabati,
Love(L) is complex therefore it has two parts imagenary part and real part.

ie L = ai + b

a&b ni namba tu

Kwa hiyo kokotoa hesabu yako

You are making it even more complex.
I guess iam not a mathematician.
 
Mimi sitaki kusema mengi jaman ila kila mtu anajua
mapenz yanavyozingua
hebu 2peane njia za kuinjoy mapenz bila stress!

Dawa ni moja tu, usiingie mapenzini kwa kubipu kisa utapigiwa, ingia at
the right tym, with the right person, and at the right place, utaenjoy!
 
dawa ni moja tu, usiingie mapenzini kwa kubipu kisa utapigiwa, ingia at
the right tym, with the right person, and at the right place, utaenjoyyyyyyyyyy!
Khaa!! When? Who? Where? Maana kama unatabiri hivi..
 
Subiri uzeeke utafute mzee mwenzako.Mapenzi ya ujana lazma purukushani ndo yanaleta ladha pia
 
seriously unataka mapenzi yasiyo na stress? masturbation is more or less your line

Hahahaaaaaaaa,nlitaka kumpa hii kesshaisoma najua no stress, no missing no period no kuumwa hahaaa
 
dawa ni moja tu, usiingie mapenzini kwa kubipu kisa utapigiwa, ingia at
the right tym, with the right person, and at the right place, utaenjoyyyyyyyyyy!

Stress ziko pale pale.
Dawa ni kufanyiwa operation ya kuwa robot.
 
Tatizo binadamu (wazima wa afya) tumeumbwa kwa 'mabati', na mapenzi ni 'sumaku', yanatuvuta. Tuko kwenye jamii ambayo ndo mapenzi yenyewe, hivyo kutokujiingiza ktk mapenzi kwahitaji kazi ya ziada kweli kweli.

Ndiyo hiyo kazi ifanyike mkuu
 
To make one person the center of your world is bound to end in disaster. There are too many factors outside your control
 
Dawa ya mapenzi ni uwezo wako na pesa tu.
 
Kupenda sana na care ya sana ukiona reply inalegalega zidisha dose.
 
Wewe ni mwanaume au mwanamke?
Kama ni dume ili ufurahie mapenzi usiwe na mke au mpenzi wa kike mmoja,kua nao weng kadri uwezavyo,,pia jitahidi usipende hata siku moja.

Kwenye mapenzi kua na mahusiano na mwanamke mmoja ni kujitaftia presha bure pia ni kwenda kinyume na mapenzi ya mungu.(wapenzi wote wa mungu walikua na wake wengi,ibrahim wake 3,solomoni wake 700,michepuko 300,daudi ndio usiseme) na ukiwagusa hao umemgusa mungu jichoni. Kua na wake wengi mungu akupende.
 
kuwa pandre tuuu haina ulazima wa kuanza mahusiano kama huyawez
 
Kwanza usipende kujenga fikra negative things juu ya mpenz wako,pili usipende chunguza xna mwenzako mfano kuangalia sms kwenye cmu yake kingine mfanye mtu wako kama rafiki wa kawaida mfano kutaniana au kuchekeshana vitu mbalmbali ukifanya ayo utaenjoy sana mpendwa.

Kweli Mkuu big up
 
Back
Top Bottom