Recent content by Lucy Mbogoro

  1. L

    Safari za Fastjet

    Nauli za fastjet ziko chini sana nauli kwa return ticket ni tsh 374,170 ikiwa na kodi SA nauli ziko chini sana wapigie 0784 108 900 au ingia www.fastjet.com watakuhudumia.
  2. L

    FASTJET mmetusaidia sana wafanyabiashara Tanzania

    Kwa niaba ya fastjet, ningependa kutoa shukrani za dhati kwa kwenu nyie wateja wetu kwa kufurahia huduma zetu, inatupa faraja na inatutia nguvu, tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora, kuondoka kwa muda uliopangwana na kukupa urahisi katika kufanya maandalizi yako ya safari. Pia tunafanya juhudi...
  3. L

    Application Fast Jet

    Email inafanya kazi hakikisha C na T ni capital letters. Commercial.Tanzania@fastjet.com
  4. L

    Aviation Industry: Precision air vs Air Tanzania vs Fastjet

    Fastjet is growing tremendously the total number of fans in facebook is now over 100,000 with the Zambia launch the number is expected to grow bigger.:A S wink:
  5. L

    FastJet is way too expensive

    Si kweli. fastjet wako cheap sana ukilinganisha na Mashirika mengine ya ndege nchini kikubwa ni kufanya bookinng yako mapema ni kweli unaweza ukawa hukupata nauli ya elfu 32,000 kwa mwezi wa kwanza lakini kama unakumbuka mwezi Novemba fastjet walikuwa na punguzo kubwa la bei ambapo waliuza...
  6. L

    Customer Care yetu waswahili- Fastjet wanabore

    Fastjet wana email adress kama una malalamiko unaweza kuwaandikia kupitia Customer.Tanzania@fastjet.com watakusaidia na kama kuna makosa upande wa mfanyakazi pia watachukua hatua.
  7. L

    Serikali tusaidieni Fastjet wamezidisha uhuni

    Muda umefika sasa Watanzania tuelewe, fastjet daima wanajitahidi kutoa huduma bora tatizo lililotokea jana la kupata ufa kioo ni la kiusalama sana sasa ulitaka ndege iende hivyohivyo? Tuelimike jamaniii na tuanze kuapreciate na kuisupport fastjet sababu wameleta mapinduzi makubwa sana katika...
  8. L

    naomba kufahamishwa - nauli mpya ya fastjet from TZ to south Africa

    Helow! Habari Nauli kutoka Dar hadi Johannesbug ni tsh 160,000 bila gharama ya kodi ukijumlisha na kodi ni tsh 236,800 na kutoka Johannesburg ni Tsh 160,000 bila kodi ukijumlisha kodi inakuwa tsh 243,250. Kwahiyo go n Return ni Tsh 480,000. Kumbuka kwamba hiyo ndo nauli ya chini kabisa na...
  9. L

    Precision Air again

    Bora fastjet they are always on time ikitokea ni bahati mbaya na huwa lazima wawajulishe wateja wao. Hamieni fastjet.
  10. L

    FastJet waanzisha safari za kwenda bondeni toka Dar

    Am sure fastjet watauza sana na itakuwa kitu kizuri kwa watu kwenda SA kwa bei nafuu si tu kibiashara bali pia kutembea na kujionea miji ya wenzetu, imefika muda sasa hata watanzania wa kawaida waende nje ya nchi for a vacation.:) Kuhusu kwenda Mbeya, Juzi Wiki Kama moja iliyopita Afisa...
  11. L

    Fastjet na nauli ya 75,000 Tsh (Mwanza-Dar)

    Jamani nauli za chini zipo na wala sio Promotion, tena sio Tsh 75,000 ni Tsh 43,000 one way that makes 86,000 kwa tiketi ya kwenda na kurudi. Tafadhali mtu asikudanganye dawa ni kufanya booking mapema na kama una tatizo lolote ingia kwenye wavuti yao www.fastjet.com au facebook page yao...
Back
Top Bottom