- Thread starter
- #21
acha uwongo yani tofauti ya 325000-20000= 305000
bila shaka ni typo tu, nadhani alitaka kusema laki 2 na sio elfu 20
acha uwongo yani tofauti ya 325000-20000= 305000
SIRI
2. Precision wana bei rahisi pia hasa kwa safari za Kilimanjaro na Arusha hata z.bar pia.
CC: Uswe Kigogo Njalamatata gesselle
What I don't understand is you using all that energy defending Precision Airways on this ticketing prices. Naona hao PW wamekutuma humu uwatengenezee PR. Thank God FJ brought the competition on the Table. Tuachie tuchague wenyewe!!
Mpaka asubuhi hii nimelipia 51200 +13200=64400 online,hebu angalia vizuriona hizo sehemu nimeweka round, kwa tarehe 28 the cheapest you get kwenda tu ni Tsh 112,000
View attachment 131927
Mpaka asubuhi hii nimelipia 51200 +13200=64400 online,hebu angalia vizuri
Jitahidi kufanya booking maema na utapata nauli ya bei ya chini.
acha uwongo yani tofauti ya 325000-20000= 305000
Kwakweli fast jet sazingine wanagharama kuliko Precision. Mie nilienda kubook kwenda kia ni 325000 one way,nikasema ngoja nipite precision nikapata kwa 20000.