Recent content by luckyline

  1. luckyline

    Ana miaka 47 anaishi kwa Wazazi wake, kazi hana na anataka kuja kwetu kujitambulisha

    Yesu aliishi duniani miaka 33 hakuwa na nyumba, akarudi kuishi kwa baba yake duniani tunapita nyumba unataka ya nini?🤣🤣🤣 Hii comment usiichukulie poa inawalenga Mario wote na na huyo mharifu mwenzako, miaka 47 hana nyumba dah, sio kwa ndoa jamani.
  2. luckyline

    Jux ajibu onyo la Wanigeria, akana kumchumbia Priscilla

    Siku hizi nikiingiaga jf nakuja kufanya reference dah kuna uzi nautafuta wambea hii kapo si mwaka mmoja tu au mnasemaje? Huo umbea kama haukuandikwaga na marehemu warumi basi ni mmbea mwingine. Wacha niendelee kufukua makaburi humu.
  3. luckyline

    Mjengo mpya wa Nandy na Bilinass

    Hawa wanatakiwa kuishi wote maana wamepitia mengi watoto wao wakiuliza wapate majibu kwao. Kwanza wana video ya utupu na lile li kyupi la nandy liko mtandaoni na wajukuu watalikuta. Na kile kijiumbea kwamba....... Ndege wafananao uruka pamoja wacha waishi wote waliwazane.
  4. luckyline

    Nahisi nimeambukizwa virusi vya UKIMWI

    Ulizama chunvini?🤣🤣🤣
  5. luckyline

    Wanaume mnaovaa nguo za ndani nyingi huwa hamhisi fukuto?

    Jamani mm siwezi lala bila kuvaa chochote loh!
  6. luckyline

    Wanaume mnaovaa nguo za ndani nyingi huwa hamhisi fukuto?

    Jana nilikuwa nacheka na mtu kuwa siku hizi kanga zimeisha bei tangu dela liingie mjini aisee dela limekuwa vazi la taifa. Sina shida na dela maana limekuwa vazi jepesi tukiwa home tunajiachia na dela na skini taiti. Daslam ni dela ya kyupi ati joto kali🤣 pia hakuna haja ya kuvaa bra kwenye...
  7. luckyline

    Vyakula na ubonge maharage, bia, karanga, ugali

    Wala sijawahi zidi kg 70 kiafya natakiwa niwe na 60 tu. Nadhani kitimoto sio nyama nyekundu. Nitaangalia.
  8. luckyline

    Vyakula na ubonge maharage, bia, karanga, ugali

    Sh amon hawauzi lotion feki wala mikorogo. Sasa ukienda lazima umkute dr, akuangalie ngozi yako ndo atajua ngozi yako inafaa kwa mafuta yapi. Kutengeneza ngozi ni kazi kubwa yaani anaweza kukupa lotion ya elfu 50 ikukatae hapo haijaisha upewe nyingine. Sabuni ndo sio ghari ni 15000. Mimi...
  9. luckyline

    Mikopo ya mitandaoni ilitaka iniue

    Usipo walipa wanakufanyaje? Si hawajui kwako unawablock?
  10. luckyline

    Waganga wa tiba asili warusha vijembe kwa wachungaji na manabii

    Waganga vs manabii wacha tuone mshindi. Hawa wote ni mapacha. Mganga anakupa sharti ukiwa unatoka ndani utanguluze mguu wa kushoto🤣 sasa subiri utakavyo ichanganya miguu hapo mlangoni kwako. Mganga anajua kabisa hutoweza ilo sharti nenda uteguke miguu mwenyewe. Nabii anakwambia jion ya leo...
  11. luckyline

    Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

    Sina hata kimoja hapo kweli niko local sana natakiwa kuji establishi niwe wa kisasa.
  12. luckyline

    Simu mpya ghali kabisa zazinduliwa na Elon Musk!

    Hiyo laki tano naitoa nalia kabisa. Tuishi maisha yetu halisi haya maisha ya kuigiza yana gharama zake. Imagine nilivyo bahili simu niliyo nayo niliinunua 2021 ahaaaaaa yaani mpaka ikome. Nabadirisha protector na cover tu
  13. luckyline

    Vyakula na ubonge maharage, bia, karanga, ugali

    Humu tunatupia maneno mkuu
Back
Top Bottom