Recent content by luckyline

  1. luckyline

    Wosia wa Gardner lazima uheshimiwe, wimbo wake wa "Do you want a beer" lazima upigwe msibani

    Sinywi beer ila wimbo mzuri sana. "Beer i love you dont tell somebody " Rudia huo wimbo imba mara tatu utuandikie hapa umeimbaje
  2. luckyline

    Toka mtandaoni: Nimefanya surgery ya kuondoa uume na kubandika uke kwa faida yangu, watanzania acheni kuniombea kifo nina Mungu kuliko nyie; Dayon

    Acha hizo yaani uke wa nguruwe ndo wauweke kwa binadamu, aiseee nimecheka kama mazuri Anaingia kwenye siku zake?
  3. luckyline

    Nimemtongoza mke wangu kwa akaunti fake TikTok kanikubali, tena yupo tayari kuolewa

    Si kwanza apate hata bahati ya kupata no yangu, hela zangu za kula ninazo zake za kazi gani?
  4. luckyline

    Nimemtongoza mke wangu kwa akaunti fake TikTok kanikubali, tena yupo tayari kuolewa

    Fungua account mpya hapa hapa jf nijaribu mimi tuone kama wanawake wote tuna udhaifu. Na kitu tutakacho kiongea huko pm kilete hapa uwanjani. Sijawahi shawishiwa na mwanaume kwa njia yeyote nikatoka kwenye mstari. Mimi sinaga chenga niko direct. Mwanaume yeyote atakae soma hapa anaruhusiwa...
  5. luckyline

    Hivi kilichotokea mlima Hanang na Kawetele hayawezi kutokea Mwanza?

    Chifu wa mwanza ni rais wa nchi hayo hayawezi tokea
  6. luckyline

    Shoga maarufu Afrika, Bob Risky afungwa jela kurusha na kukanyaga pesa ya Kinaijeria (Naira)

    Huna huruma na watoto watakao iga huo upuuzi? Mbona unaongea kama unamsaport? Tuseme huna watoto? Au huna hata ndugu kweli? Unasaport ushoga?
  7. luckyline

    CAF yamtema refa aliyekataa goli la Aziz Ki

    Nasoma comments za simba wa yuda.
  8. luckyline

    Shoga maarufu Afrika, Bob Risky afungwa jela kurusha na kukanyaga pesa ya Kinaijeria (Naira)

    Nauliza akibadilisha jinsia dondolo yake wanaikata wanamuwekea jinsia ya kike? Maana naonaga anavaa nguo za kike sioni kama vile dondolo ipo!
  9. luckyline

    Diaspora wengi wa Tanzania hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuturingishia picha

    Nasoma huu uzi baada ya miaka 10, makofi kwao diasporas jamani, Wako njema sema hawapendi kujionesha
  10. luckyline

    Shoga maarufu Afrika, Bob Risky afungwa jela kurusha na kukanyaga pesa ya Kinaijeria (Naira)

    Afie huko anaharibu watoto sasa anatoa elimu gani kwa jamii? Yaani unasapot ule ushetani? Siku zake zimefika lazima aonje hasira za Mungu
  11. luckyline

    Shoga maarufu Afrika, Bob Risky afungwa jela kurusha na kukanyaga pesa ya Kinaijeria (Naira)

    Alivyo badilisha jinsia dondolo waliikata au ipo? Kama ipo ndo maana kachagua kwenda jela upande wa kiume.
  12. luckyline

    Nimepoteza Kaka Yangu Niliyekuwa Namfuatia

    Hakuwa na familiya ya kumuhudumia alipo rudi? Kwa nini hawakumpa chakula, supu, juice za ku dilute pombe? huyo alikufa kwa njaa.
  13. luckyline

    Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

    Hata mimi nineshangaa mtu anataja jina kabisa fulani acha kufanya hivi na fulani mmmh nimeogopa hii si kweli
Back
Top Bottom