Recent content by lucky sabasaba

  1. lucky sabasaba

    CHADEMA bila Dr. Slaa haina dira wala hamasa (CHADEMA without Slaa lacks vision and enthusiasm)

    Chama ni taasisi sio mtu.Dr Slaa aliikuta Chadema nikweli anamchango mkubwa lakini kuondoka kwake sio mwisho wa chama.
  2. lucky sabasaba

    Hatimaye Vikosi vya JWTZ vyaanza kuondoka Zanzibar

    Very cheap argument. ..unasikitisha sana
  3. lucky sabasaba

    Rais Magufuli akutana na Maalim Seif Ikulu leo

    Cheap argument from 'a great thinker'😅😅😅
  4. lucky sabasaba

    Magufuli, tupambane tuachane na kutegemea misaada!

    Hakuna issue ya waisani issue ni uchaguzi wa Zanzibar,ata mwana Ccm mwenye akili timamu hawezifurahia kuvurugwa kwa makusudi uchaguzi wa Zanzibar.
  5. lucky sabasaba

    Magufuli, tupambane tuachane na kutegemea misaada!

    Tatua mgogoro wa Zanzibar kwanza hayo mengine yatakuja yenyewe......
  6. lucky sabasaba

    Makongoro Nyerere mbona kimya, hata kumsifia Magufuli hutaki?

    Shati oyeeeeeee...MK hana issue yupo Butiama😅
  7. lucky sabasaba

    Leo ndio nimethibitisha tabia ya CCM

    Mimi nadhani hii sikukuu imefutwa mwaka huu tu ili kumwokoa Raisi Shein ,maana angepata aibu kubwa sana kuliko aliyopata Dodoma kama angeonekana uwanjani...
  8. lucky sabasaba

    Kipanya amlazimisha Mh. JPM kwenda Ulaya

    Mpaka issue ya Zanzibar iwe safi kwa sasa bado ni doa kubwa,ndio maana mwaka huu ile sherehe ya uhuru 9/12 imefutwa maana Raisi wa Zanzibar alitakiwa kuwepo,angeenda Shein hiyo 9/12 ingekuwa zaidi ya kilichotokea Dodoma siku ya kufungua bunge.
  9. lucky sabasaba

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Polepole !!zaidi ya kuhesabu vidole na kurusha mikono hakuna kitu pale mwulize Jussa ni nani atakwambia
  10. lucky sabasaba

    Lowassa: Polisi wasipochukua hatua, sisi tutachukua hatua wenyewe

    The Cheapest argument of all time !!
  11. lucky sabasaba

    Wanajamvi naomba tujadilini kuhusiana na kasi JPM

    Anafanya vizuri sana lakini akitatua 'mgogoro' wa Zanzibar atapata heshima kubwa sana
  12. lucky sabasaba

    Zanzibar: Maalim Seif, Shein kuteta Leo

    Hakuna saizi ya Maalim Seif Zanzibar,Seif alijenga ngome nzito Pemba ambayo ata Mwl Nyerere alishindwa kuibomoa (Tangu uchaguzi wa 1995 Ccm hawajapata ata kiti kimoja)hakuna shida Seif atapambana nao !!!Mpaka matokeo yanaacha kutangaza Seif alikuwa amepenya ngome ya Ccm Unguja (viti 8)wakati Ccm...
  13. lucky sabasaba

    Maalim Sharif Seif Hamad "No comment"

    Lidiniiiii hilooooooo
Back
Top Bottom