Recent content by Lucky saba

  1. Lucky saba

    Umewahi kukumbwa na janga gani chuoni mpaka ukapaona chuoni kuchungu?

    Ahh, bwana mmoja Aliitwa Issa, alinyoosha mifuko 2017 uni people wanamkumbuka
  2. Lucky saba

    naomba kufahamu

    jinsi ya kubadili jina (username) jf profile
  3. Lucky saba

    Taarifa ya yanga kulipa zaidi 500 mil kwa tp mazembe

    Duuu haya haikua lazima kunijibu coz huu ni uwanja wa hoja. Jukwaa haliwezi kuwa na mtu mmoja akijadili hoja. Shukrani kwa mchango wKo pia
  4. Lucky saba

    Taarifa ya yanga kulipa zaidi 500 mil kwa tp mazembe

    Je kuna uhalali wa TFF na shirikisho la mpira wa miguu kuitaka yanga kuilipa mazembe zaidi ya 500 milion kwa kufuta viingilio kwa mashabiki kwenye mechi ya leo.
  5. Lucky saba

    Ubabaishaji na Utapeli benki ya CRDB

    Ila hilo jambo sio kwenyemikopo ata kwa account za serving wanajikatia hela za watu wanavyotaka
  6. Lucky saba

    Wabunge wa Upinzani watoka bungeni wakiwa wameziba midomo yao

    Mi naona ccm wakae watafakari kinachotokea sababu hapo sio huyo naibu anadhalilika serikali nzma na democrasia inapotea kabisa. Sasa kutakua na faida gani kua na bunge la ccm tu. HakutKua na mashiko ya bunge kwa namna biyo
  7. Lucky saba

    Wanafunzi wa UDOM waliofukuzwa masomo waanza kujiuza...

    Mi naona kwanza shida sio kuwarudisha nyumbani, la nama walivyoondolewa chuoni kwa ghafla kiasi kwamba ambaye hakua na hela sio rahisi kupata kwa siku moja ukizingatia wengi tunatoka familia zetu kua haziwezi kuna na emergence balance za fedha. Hiki kimepelekea wanafunzi kushindwa kurudi makwao...
  8. Lucky saba

    Bashe: Ualimu ni chaka la watu waliofeli, Hakuna dira ya taifa la viwanda

    Uko vizuri kiongozi japo ukweli ni sumu imuangamizae mwanaharakati
Back
Top Bottom