Naendelea kutoa masikitiko yangu kwa chadema kwa kuwabeba baadhi ya wagombea wasio kubalika.
Hivi ni kweli wanampango wa kuwashinda CCM ama ni usanii tu.Mfano mzuri ni jimbo la Muleba kaskazini ambapo wamemteua Ansbert Ngurumo kusimana kuwa mgombea ubunge licha ya kwamba alishika nafas ya 5...
Kwa kweli jimbo la Muleba kaskazini wamembeba sana Ansbert Ngurumo.
Naelewa alianza kujiandaa mapema lkn hajakubalika zaidi huko.Miaka mingi amekuwa nje ya Muleba, mm binafsi nadhani wamepunguza nguvu ya kuing'oa CCM jimbo hilo.
Tunote tusubiri oktober 25. Tujifunze kuacha kuwabeba watu
Dk. Slaa: Natishwa
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa, ambaye tayari amekwishakujivua uanachama wa chama hicho, amesema maisha yake binafsi pamoja na ya familia yake sasa yapo hatarini.
Hatua hiyo ya Dk. Slaa kufichua hatari hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.