Acha wivu wewe pambana na hali yako maana hujui ni kwa jinsi gani huyo msichana kalipata hilo gari au pengine ni la bwa.na wake.
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Ilitakiwa huyo ndalichako awe wa kwanza kusimamishwa kazi.Mi sioni kabisa la maana analofanya katika wizara hiyo nyeti.Ikumbukwe pia kwamba ithibati inatolewa na waziri kwa hiyo huo ni mzigo wake.Kwa nini watwishwe wengine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.