Recent content by lucas meshack

  1. L

    KERO Trafiki mnaoweka kijiwe Kiluvya, Kibamba, Mbezi na maeneo hayo mnalitia aibu Jeshi la Polisi

    MDAU Traffick Mkoa wa Pwani mnalitia aibu Jeshi la Polisi, mnajipanga barabarani kila kituo cha daladala mnachukua buku (1,000) za madereva wa daladala. Mnakaa kituo cha Kiluvya madukani, Bwawani, Gogoni, Kibamba shule, magari saba na kituo cha Mbezi Mwisho. Vituo vyote hivyo makondakta...
  2. L

    SoC01 Njia mbadala ya Tozo ya Miamala ya Simu

    LUCAS MESHACK Hivi karibuni serikali kupitia Bunge lilipitisha sheria ya tozo katika mihamala ya simu kwa njia ya simu. Sheria hiyo ilitokana na mapendekezo ya Bajeti ya Serikali 2021/22 pamoja na sheria ya fedha ilipelekea kuweka tozo katika miamala ya fedha inayofanywa kwa njia ya simu, jambo...
  3. L

    Nina mashaka na kingo za barabara ya Tazara Flyover

    ulipotembelea wiki iliyopita kwa nini usingemuuliza swali Waziri Mbarawa au Mkurugenzi wa Tanroads Mkoa?
  4. L

    Bunge lasema halijapokea barua ya Nyalandu kujiuzulu, lamvua ubunge kutokana na CCM kumfukuza uanachama

    mwenye barua ya Nyalandu aliyoandika kwa spika wa bunge ninaiomba waungwana
  5. L

    Naomba kujua

    Ni Tecno wandugu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. L

    Naomba kujua

    Naomba kujua, ivi kwa nini Smart Phone inapoteza contacts? Leo nimeamka asubuhi majina zaidi ya 20 hayapo. Anayejua anisaidie tafadhari. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. L

    NAOMBA USHAURI

    kuna watu hawajakua bado humu JM
  8. L

    Msaada namna ya kuteka hisia za binti/mwanamke kimapenzi

    we toa pesa tuuuuu..mpe tu pesa mwanamke atakuja mwenyewe
  9. L

    Msaada kwa anayefahamu location ya shule ya St. Anne marie secondary school

    Ukifika Mbezi kwa Msuguri, utakuta bajaji na pikipiki nyingi sana, buku 2 tu unafika st. anne marie
  10. L

    DAR: Majambazi wapora na kuua watu watatu Mwananyamala

    Wandugu, Majambazi yamevamia maeneo ya Mwananyamala na kupora fedha kibao kwenye duka la jumla na kuua watu watatu, walikuwa na bodaboda.
  11. L

    Mwanasheria wa NEMC afukuzwa kwa kunusuru ghorofa la kigogo lisibomolewe

    Mwanasheria wa Nemc anayejulikana ni Manchale Heche, hakuna mwingine
Back
Top Bottom