Recent content by Lucas J Ntemi

  1. L

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    sepa!? ukila mzigo ukasepa yeye ale nini!
  2. L

    Chemsha bongo

    hahaha wewe wasema
  3. L

    Chemsha bongo

    umekosa
  4. L

    Chemsha bongo

    umepata kamanda
  5. L

    Chemsha bongo

    Mwalimu mkuu alitembelewa na wageni idadi kadhaa, akawapa viti pia idadi kadhaa, wakaamua kukaa kama ifuatavyo: Wakikaa mmoja mmoja kwenye kila kiti mgeni mmoja anakosa kiti, Wakikaa watatu watatu kwenye kiti kimoja kiti kimoja kinabaki, Je! Wageni walikuwa wangapi na viti vilikuwa vingapi?
  6. L

    Kiswahili: Methali, Vitendawili, nahau, Misemo n.k

    hiyo ya "aliye juu mngoje chini," ingetakiwa iwe hv, "aliye juu mpandilie huko huko ikishindikana mponde mawe"
  7. L

    Wengi hawajui kwanini tunasema 'Life begins at 40'

    kwa nn usiseme hyo ya ray n copy na paste ya huyu jamaa
  8. L

    Wasomi mpo?

    mmmhhhh!
  9. L

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    hajui? sijakuelewa unachomaanisha
  10. L

    Joining Instructions Kidato cha Tano 2015, malipo na mahitaji ya shule

    Mwenye joining instruction ya biharamulo high school au namba ya mhusika yeyote hapo naomba anisaidie
  11. L

    Nimechekajeeeee

    hahaha kama n mm nalala hapo hapo umeme utanikuta hpohpo
  12. L

    Serious Question..

    ungemuulza huo mswaki unaumwa nn?
Back
Top Bottom