Recent content by LUBEDE

  1. LUBEDE

    Natafuta waunga bundle za halotel?

    mcheki huyo jamaa huwaga ananiungia kila nikiishiwa..
  2. LUBEDE

    Ushawahi kwenda sehemu, baada ya kukuona wakakuchukulia poa, baadaye wakajua wewe ni mtu wa aina gani, wakaanza kukuonea aibu?

    umetumia nguvu sana kutaka kutuaminisha kuwa una BMW..acha ushamba..wanawake wengi hawayajuagi magari..wao wanajali kama linatembea basi...una kariba ya KIHAYA...
  3. LUBEDE

    Hayati Magufuli kwenye utawala na Demokrasia alifeli pakubwa sana

    Nimepoteza muda wangu kusoma takataka...kipindi cha JPM na sasa unaona bora kipindi gani,bila yule jamaa unadhani tungepajuaje huko kwenu KIBONDO? ili nchi iendelee lazima itawaliwe kwa mtindo ule,sio tu nchi,even your own family...
  4. LUBEDE

    Kwanini hauendi kwenye matamasha ya Wasanii wa Tanzania?

    Mimi hata kwenye maharusi huwa siendi kwa sababu ya ujinga huo huo,mara simameni,mara gongeni cheers,mara bibi harusi amependeza au hajapendeza,utafikiri mpo kindergarten...
  5. LUBEDE

    Hijjah ni mpango wa waarabu kupiga hela kupitia utalii, haina uhusiano na kwenda mbinguni siku ya kiyama

    mimi ni mfia dini(islam) ila kwa hapa sipingi,mwarabu kuna ujanja aliuzidisha kwenye hili,ukitoa lile la kutumia kiarabu kwenye masuala yote yanayohusu dini...anatutesa sana waswahili wafuata mkumbo..
  6. LUBEDE

    Hivi kwanini tunapenda kushangaana hivi?

    Tatizo la afya ya akili ni kubwa nchini..nenda hospitali ukaonane na specialist akusaidie..maana unaongea vitu hata havieleweki...pole kwa changamoto though..
  7. LUBEDE

    Naomba kufundishwa mbinu za kuepuka watu wa Jumuiya na Parokia

    hivi na wewe shuleni ulienda kusomea ujinga au? nani kakwambia ukifa lazima uzikwe na jumuiya/waumini?
  8. LUBEDE

    Mbeya haina hadhi ya Jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

    walikuwaga wanagawa atu
  9. LUBEDE

    Historia ya Yesu siyo halisi ilibuniwa na watu tofauti tofauti

    Mkuu upo DEEP sana na una hoja,usipuuzwe..hao jamaa achana nao,ni EMPTY BOXES...
  10. LUBEDE

    Kwanini Joseph Kasheku (Msukuma) anadharau wasomi?

    Unajiita kabisa Doctor MD afu unaandika utumbo kama huu,then Msukuma asiwatukane,wewe nae ni mmoja wao[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Back
Top Bottom