umetumia nguvu sana kutaka kutuaminisha kuwa una BMW..acha ushamba..wanawake wengi hawayajuagi magari..wao wanajali kama linatembea basi...una kariba ya KIHAYA...
Nimepoteza muda wangu kusoma takataka...kipindi cha JPM na sasa unaona bora kipindi gani,bila yule jamaa unadhani tungepajuaje huko kwenu KIBONDO?
ili nchi iendelee lazima itawaliwe kwa mtindo ule,sio tu nchi,even your own family...
Mimi hata kwenye maharusi huwa siendi kwa sababu ya ujinga huo huo,mara simameni,mara gongeni cheers,mara bibi harusi amependeza au hajapendeza,utafikiri mpo kindergarten...
mimi ni mfia dini(islam)
ila kwa hapa sipingi,mwarabu kuna ujanja aliuzidisha kwenye hili,ukitoa lile la kutumia kiarabu kwenye masuala yote yanayohusu dini...anatutesa sana waswahili wafuata mkumbo..
Tatizo la afya ya akili ni kubwa nchini..nenda hospitali ukaonane na specialist akusaidie..maana unaongea vitu hata havieleweki...pole kwa changamoto though..
Unajiita kabisa Doctor MD afu unaandika utumbo kama huu,then Msukuma asiwatukane,wewe nae ni mmoja wao[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.