Well said.
Maendeleo katika nchi za ulaya yamefanyika katika kipindi cha tawala za mikono ya chuma. Demokrasia imeletwa kama project ya nchi za Magharibi kuzifanya nchi za Africa zisifanikiwe.
Acha kupiga ngumi ukuta utaumia mwenyewe. Rais ni Rais haijalishi kaingiaje madarakani. Iwe kwa mapinduzi au kwa wizi wa kura kama mnavyodai Rais ataendelea kuwa Rais.
Sikusoma kiswahili katika level ya juu ila kwa uelewa wangu ni kwamba ukitaka kuelewa Hapo na huko basi nipo inaendana na hapo wakati huko inaenda na niko.
Vifungu ulivyonukuu mbona ni dhahiri vinampa Rais mamlaka makubwa sana dhidi ya Bunge siyo ya kusitisha tu bali kulivunja kabisa Bunge pale anapoona halikubaliani na matakwa yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.