Recent content by Lubebenamawe

  1. Lubebenamawe

    JamiiForums Tanzania Hivi hakuna kifungo cha nje au conditional discharge? Kukutwa na nyama ya Nguruwe Pori ni kosa la kumfunga miaka 20?

    420Kg kubebwa kwenye baskeli? Ni baskeli hizi nazozujua mimi?
  2. Lubebenamawe

    JamiiForums Tanzania Kwanini Socrates hakuamini katika Demokrasia

    Well said. Maendeleo katika nchi za ulaya yamefanyika katika kipindi cha tawala za mikono ya chuma. Demokrasia imeletwa kama project ya nchi za Magharibi kuzifanya nchi za Africa zisifanikiwe.
  3. Lubebenamawe

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Acha kupiga ngumi ukuta utaumia mwenyewe. Rais ni Rais haijalishi kaingiaje madarakani. Iwe kwa mapinduzi au kwa wizi wa kura kama mnavyodai Rais ataendelea kuwa Rais.
  4. Lubebenamawe

    JamiiForums Tanzania Lema mjue anamfahamu Wenje mpaka familia huko Canada!!! ni snitch!

    https://youtu.be/HQMBBEXmloY?si=UvWfdPQAe7IcVBNZ
  5. Lubebenamawe

    JamiiForums Tanzania Kwa wale msiojua: Mimi ni mtoto wa Mfalme!

    Ni mtoto wa mfalme au binti mfalme
  6. Lubebenamawe

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya neno 'niko' na 'nipo' katika Kiswahili

    Sikusoma kiswahili katika level ya juu ila kwa uelewa wangu ni kwamba ukitaka kuelewa Hapo na huko basi nipo inaendana na hapo wakati huko inaenda na niko.
  7. Lubebenamawe

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amepata wapi mamlaka ya kusema anasitisha shughuli za bunge?

    Vifungu ulivyonukuu mbona ni dhahiri vinampa Rais mamlaka makubwa sana dhidi ya Bunge siyo ya kusitisha tu bali kulivunja kabisa Bunge pale anapoona halikubaliani na matakwa yake.
  8. Lubebenamawe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu dada kanifedhehesha sana!

    Mkuu amka kutoka usingizini usije ukafanya mambo ya ajabu....
  9. Lubebenamawe

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wakili Peter Madeleka: ACT ikiingia Madarakani, Tutahakikisha kila Askari anamiliki Ghorofa na Land Cruiser

    Hii sera ya ubwabwa iliyochangamka...🤓🤓🤓🤓
  10. Lubebenamawe

    JamiiForums Tanzania Kwanini hakuna ubalozi wa Uingereza hapa nchini wakati Sisi ni koloni lake?

    Ubalozi upo sema hauitwi ubalozi unaitwa High Commission...
  11. Lubebenamawe

    JamiiForums Tanzania Sheikh: Mwanamke hapaswi kuwa na uongozi wa juu kabisa

    Huyu ndiyo sheikh wa Dar kwani isije kuwa ni sheikh wa kikundi fulani maalum...
  12. Lubebenamawe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Daaa story inaelekea kuisha.
  13. Lubebenamawe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Laylah nisamehe bure
  14. Lubebenamawe

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Wangeonana pale Higgno na Soraya story ingeisha...Acha iendelee.
  15. Lubebenamawe

    JamiiForums Tanzania Nasumbuliwa na harufu ambao mke wangu amekuwa akisema ni harufu ya kizee

    Mkeo hatari. Ana uzoefu wa harufu za wazee.
Back
Top Bottom