Tusiende mbali, Nairobi tu mabasi yanatembea usiku tu, ili mchna watu wafanye shughuli zao, na huo usiku speed yake sio ya kitoto, always usipotumia muda utachelewa kupata maendeleo, muda mabasi yetu yanatumia njiani maendelea yanachelewa, siku 2 mtu hajafika anakoenda then ageuze, muda bado...
Ni vyema viongozi wetu wakaiga maendeleo ya wengine, hapa kwetu mabasi hayakimbia hata, nenda nchi zingine hakuna bump kila sehem, na wanakimbia sana, hawasimami ovyo, ndio maana basi linatengenezwa a viti vipana kwa ajili ya kulala.
Sio nyoka ni myoo, huko nyuma sana ulitokea ugonjwa ambapo minyoo ilisambaa katika mwili wa binadamu, so hakukuwa na tiba yake, so ilitumika sindano kuchoma kwenye sehem myoo ulipo mwilini, ndo ikawa tiba ya kuua, ndio ikachukuliwa kama Alama ya Afya mnyooo na sindano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.