Recent content by LPG

  1. L

    Ndege yateketea kwa moto Japan, Abiria Zaidi ya 300 waokolewa!

    Ingekuwa ni nchi fulani kiongozi mkuu angesha ahirisha ziara ili kuhudhuria mazishi ya halaiki
  2. L

    Kijana kuamini huwezi toboa bila uchawi, umaskini wako unaanzia hapo

    Wewe utakuwa muumini wa hawa manabii feki na umeshajimaliza kupitia sadaka ya kujimaliza na umeaminishwa 2024 ni zamu yako kununua gari nakuhakikishia kama hutofanya kazi we tayarisha sadaka ya kujimaliza tena tutakapoukaribisha mwaka 2025
  3. L

    Madereva wa mikoani, tabia na utaratibu wa kupaki mabasi sehemu ya chakula chenye bei juu mnaumiza abiria wenye kipato kidogo

    Mimi ni dereva ngoja niitetee hii hoja kwa niaba ya wenzangu, zipo sababu kadhaa; 1. Kuzuia abiria kuharisha hovyo, ukiruhusu kusimama maeneo yenye bei nafuu watu watakula hovyohovyo na kuanza kutapita kuharisha hii itapelekea safari kuwa goigoi 2. Tukiwapeleka pale mjue sisi madere tunakula...
  4. L

    Mama mkwe wangu anavaa nguo fupi mbele yangu, naombeni ushauri jamani

    Huyo mama nilikuwa namtafuta tulipotezana tafadhari nifate private nifanye mawasiliano naye ili hilo jambo liishe na lisijirudie
  5. L

    Mwaka 2023 Waziri Ummy amepigwa attacks za kimyakimya sana

    Mimi wa tanga unachosema hakipo mbali na ukweli lakini kuhusu mapenzi na mapishi bila kuacha ulozi na uganga hiyo ni fani yetu
  6. L

    Mwaka 2023 Waziri Ummy amepigwa attacks za kimyakimya sana

    Mnaniudhi mnapo disturb pilau la msoga
  7. L

    Aliyekuwa mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu atuhumiwa na nduguze kudhulumu mirathi

    Ukiona hivyo ujue kwenu hakuna hata banda la kuku la kurithi lakini hakika baba yako angekuwa na ghorofa halafu usikie dada yako kaliuza bil. 2 na yupo hotel fulani anakula bata na shemeji yako sidhani kàma ungekuja na hii hoja
  8. L

    Internship (Manamba) mashambani Israel?

    Bora anaeenda kufa kwenye utafutaji kuliko kubaki ukila dona ngogwe/mlenda huku ukisubiri kufa kwa malaria au kufumaniwa
  9. L

    Kukamatwa Juzi kwa Kato Rasta Muuaji wa Afande Muna Kawe ni jibu tosha kuwa huwezi Kuikimbia popote pale Jamhuri kama ikikutaka

    Msichezee polisi nyie watu ukitaka usikamatwe fanya yafuatayo; Usikate gogo Usikojoe Usile Usile mbunye Usisomwe jicho
  10. L

    Tundu Lissu Mwanasiasa Bora 2023 akifuatiwa na Komredi Makonda

    Inaweza kuwa umepitiliza lakini ni ukweli pengine ni sawa na kuweka misosi kama biriani, baga afu unafunua bakuli la mwisho unakutana juisi la Bamia
  11. L

    Hongera Rais Samia kwa kuivusha salama Tanzania mwaka 2023, hakika unaweza, Tanzania ni Mhimili Mkuu wa Afrika Mashariki

    CHADEMA hakuna huo msamiati uitwao KADA unaonekana umejazwa kitu huko lumumba kama ni magimbi subiri kwenda toilet vinginevyo subiri miezi 9 ukajifungue rangi ya kijani
  12. L

    Manguli wa Siasa, Zitto Kabwe, Stephen Wassira, John Cheyo, Kuunguruma Kwenye Kipindi cha KMT cha Channel Ten, Kila Jumapili Saa 3:00 Usiku, Usikose!

    Sasa mbona walioitwa wote ni MACHAWA? Maana ktk hao wote hakuna hata mmoja mwenye uwezo wa kumkosoa hangaya
  13. L

    DOKEZO KKKT Kimara- Korogwe mnaumiza majirani zenu kwa kutiririsha maji machafu!

    Kwani mzigo wa church bacteria watasubutu kuingia kweli
Back
Top Bottom