Recent content by Lower key

  1. L

    JamiiForums Tanzania Nimepoteza kadi ya Benki, baada ya muda nikaanza kupokea SMS za miamala kwenye simu yangu. Hili jambo linawezekanaje?

    Wakuu, habari za muda huu. Naleta mada hii mbele yenu nikiwa na taharuki, lakini lengo langu ni kupata uelewa na maarifa kutoka kwenu wataalamu. Siku chache zilizopita nilipoteza kadi yangu ya ATM (kadi ya benki). Wakati bado nahangaika kufikiria jinsi ya kwenda benki kuifungia (block), ndani...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Kipindi unajitafuta, michongo gani ulikua unapiga ili kujikimu kimaisha?

    Asee kumbe Breakthrough ipo ,, Mkuu mimi ndio naingia huko ulikotoka nataka nipite nyayo zako na ntadeal na hustle moja tu kati ya hizo ili niwe focused zaidi.
  3. L

    JamiiForums Tanzania Kipindi unajitafuta, michongo gani ulikua unapiga ili kujikimu kimaisha?

    Link out Hapa imekaaje mkuu 😂
  4. L

    JamiiForums Tanzania Wito wa kulinda hadhi na heshima kwa Walimu wote Tanzania

    Kumbe ndivyo ilivyo hii kitu asee 🤔
  5. L

    JamiiForums Tanzania Wito wa kulinda hadhi na heshima kwa Walimu wote Tanzania

    Daah ,, mkuu 😀
  6. L

    JamiiForums Tanzania Wenzetu mnawezaje kuishi decent life?

    Mkuu m naona hiyo tabia yako itaisha yenyewe automatically tu, we kuwa na amani Huwez amini kuna mwingine anaishi decent lakini nae anatamani mara moja moja kuvurugwa kama ww, Kwahyo cha kufanya ishi na ufaidi kwelkwel 😀 😀 Ili usije lialia mbeleni kwamba kwanini hukufaidi vilivyo zile enzi...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Wenzetu mnawezaje kuishi decent life?

    Mkuu Ma vacay ya Malvides ndio nini hiyo,?
  8. L

    JamiiForums Tanzania AI imeniona inanitambua kumbe 😀

    😀😀😀 Teknolojia mkuu
  9. L

    JamiiForums Tanzania AI imeniona inanitambua kumbe 😀

    Ila hii AI inaweza hata kukugombanisha na mtoa mada 🤔
  10. L

    JamiiForums Tanzania AI imeniona inanitambua kumbe 😀

    Ngoja waje kukupa muongozo ,,😅
  11. L

    JamiiForums Tanzania Leo niko na furaha sana

    Mchele mbichi duuh
  12. L

    JamiiForums Tanzania Leo niko na furaha sana

    Asee 😁 Sawa mkuu ungeeleza kidogo sasa
Back
Top Bottom