Niliwahi kutana na pisi kali kutoka mbulu kipindi nipo UDSM alionekana kunipenda Sana sasa akawa analazimisha tuoane nikamwambia subiri Mimi nikawa namchunguza Kwa Siri, yaani hiyo tribe hovyo Sana kumbe shemeji zangu akina Garmaa walikuwa wanakula.
Kuna siku nilimkuta Garmaa chumbani kwake mi...
Acha ujinga mbona watu kanda ya ziwa na kanda zingine wanatahiriwa Kwa msaada wa walipa Kodi wa marekani kujiamini unakoongelea ni Kwa Aina gani?
Ktk mazingira ya kawaida kukatwa GOVI Kwa msaada ktk nchi yenye kila Aina ya mali ni aibu kubwa lakini viongozi hawa wanapokea tena Kwa mikono miwili...
Unadhani kuna igizo la kipuuzi linalozidi lile la magufuli kudanganya watu kwamba kitambulisho cha mjasilia Mali kinaweza tumika kukopa benki na kutibiwa bure yaani kama bima ya afya?
Sasa hapa Lamadi tulivua mashati tukadeki road ili Roadmaster apite unadhani huko ni ku act?
Kuna mtoto jirani kaota kipara cha makonzi ya Baba yake aliyejua kuwa ni mzazi kumbe social father hivyo kila uchao dogo anaitwa mara konzi "MBWEE" bila 7bu.
Huku kanda ya ziwa Lissu aliposema wakulima wa pamba wamekopwa na na akiingia huo upuuzi utakomeshwa ndani ya siku tatu wakulima wakaanza kulipwa na akati pamba ni ya 2018 HAKIKA #NIYEYE 2020 maana asingesemea hili sijui kama wakulima wangelipwa
Mleta mada usipotoshe umma Mimi nipo Handeni watu wamepigizwa hiyo hela walengwa wameambulia 7% ya pesa yote na 93% imeliwa kupitia vikundi feki vya vigogo wakiwemo wanasiasa na viongozi wa serikali.
Handeni ina kata 27 na kata 9 ndiyo zilikuwa na vikundi lakini vingi ni feki, nipo pamoja nawe...
Kwa mfano sasa hivi wewe ukimenywa marinda hadharani na kundi la watu hadi ukazi100 unadhani uongozi wa eneo husika watasubiri ufufuke ndo wahalifu wachukuliwe hatua?
Nipo hosp. ila nimecheka Sana kwamba hajaanza Kula mahindi kwani yeye genda eka? Kipindi hiki atakula hadi michembe matobolwa mlenda aina ya mwage wamdhibiti Kula asijeleta shida ya kuchimba dawa mara ooh tumbo maana anaweza kwenda sehemu akala maboga, mahindi ya kuchoma, miwa, mayai akajikuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.