ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,114
- 49,840
Haijalishi maana mwisho wa siku utaoa tena utakuwa umezeeka afu unaona binti ni kuchapiwa kwa kwenda mbeleNgoja nizeeke-zeeke kwanza.
Haijalishi maana mwisho wa siku utaoa tena utakuwa umezeeka afu unaona binti ni kuchapiwa kwa kwenda mbeleNgoja nizeeke-zeeke kwanza.
Mke ameumbwa kwa ajili ya mme mmoja, lakini mme Ni kwa ajili ya wanawake.Hiyo kitu iko same kwa waume za watu
Waume za watu hawajatulia hata kidogo,sijui hivyo viapo ama maamuzi ya kuoa huwa mnashikiwa bunduki kuyafanya?tena sasa mnaona ni haki yenu kabisa kuwa na mpango kando
mlam kalia ndili
Na ndiyo ukweli walio kwenye ndoa ndiyo waathirika wakubwaNdio maana waathirika wengi ni walioko kwenye ndoa kuliko single,maana tatizo LA ndoa hata kama wewe ni muaminifu mwenzako akitoa tu paja nje inakugharimu hata kama wewe ni muaminifu kiasi gani.
Bora hata anayetembea nao kuliko huu mchezo unaocheza. Ukija kushtuka hatari yake itakuwa too late.
Ulitaka kuandika mtaalaam?Hatari ni ipi hapo mlamu!
Ulitaka kuandika mtaalaam?
Anyways, kuna kijana alikuwa na tabia inayofanana na hiyo, bahati mbaya kukatokea tatizo la mke kuhisiwa anachepuka akawa anafatiliwa, katika harakati za kucheza cheza na wake za watu huyu kijana akajikuta kaingizwa kwenye main suspect ilihali siyo, kiufupi ni kuwa kijana alipata wakati mgumu sana kujieleza kuwa hakuwa na nia ya kutembea na huyo mke wa mtu lakini ilikuwa too late...
halafu wake za watu ukiwaogopa ndio wanajileta kama kumbikumbi😂 😂 😂 😂 dah sio poa, wake za watu nawaogopa kama ukoma
wacha nikomae na chaputa
Eeh! yamekuwa hayo tena!Ibrahimu aliponzwa na mkewe Sarai aliyeona kama watazeeka na kufa bila ya kupata mtoto(maana walichelewa kupata mtoto ktk ndoa yao). Ibrahimu alikuwa mwaminifu sana, sauti ya kike ikamponza.
Uaminifu ni tunda la Roho (WAGALATIA 5:22). Kwa mtu yeyote aliyeokoka akajazwa na Roho Mtakatifu uaminifu kwake ni ishu ndogo sana. Na sio uaminifu tu, bali mtu aliyemwamini Yesu atakuwa na UPENDO, FURAHA, AMANI, UVUMILIVU, UTU WEMA, FADHILI, KIASI, UPOLE.
UKITAKA UWE NA HIZO TABIA TAJWA HAPO JUU, NJOO KWA YESU! Milango iko wazi.
JESUS IS LORD!
😂 😂 😂 😂halafu wake za watu ukiwaogopa ndio wanajileta kama kumbikumbi
Siku ukibambwa na mwenye mke ndio itakuwa mwisho wa kuwa na marinda.Hii dunia haina wema unaweza ukawa mtulivu na mkeo akabamizwa sasa dawa ni ....atakaejichanganya lazima aumie