Recent content by Lovinho

  1. Lovinho

    JamiiForums Tanzania Kurudia tendo na kudumu zaidi ya dakika 30

    Wataalamu wanasema 85% ya wanawake mpk wanakufa hawajawah kufika kileleni, yaan hawajui kufika kileleni ni kitu gani.. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Lovinho

    JamiiForums Tanzania Kurudia tendo na kudumu zaidi ya dakika 30

    Wastani wa mwanamke kuridhika wakati wa tendo ni dk 15, ukiona unafanya mapenzi na mwanamke kwa muda huo na hajaridhika basi kuna tatizo la kihisia kati yenu.. Kupiga bao nyingi hakuna uhusiano wowote na kumridhisha mwanamke, sana sana hayo ni matumiz mabaya ya nguvu. Sent using Jamii Forums...
  3. Lovinho

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kodi na payroll, msaada wenu unahitajika

    Mkuu Sect 11-19 si zinazungumzia Deductions au hyo Act ya mwaka gani..?? Mi nadhani akisoma Section 7 ya Income Tax Act 2004 Revised Edition 2008 ndio ataelewa zaidi kuhusu mada yake hyo, maana kila kitu kimeelezwa vizuri kabisa. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Lovinho

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Marufuku ya kuzidisha abiria ili kupambana na Corona, Daladala zimeanza kugoma Dar es Salaam

    Bei ya mafuta ghafi ndio iko chini, halafu kinachopandisha bei ni kodi zinazotozwa pale bandari.. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Lovinho

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kipi kinakupa Sababu ya kuoa?

    Kuna jamaa alikua na ile "mentality" ya mimi sioi nawatia mimba tu nakua na watoto, kweli bhna alitia mimba wanawake watatu, kwahyo akawa na watoto 3 kila mmoja na mama yake. Akawa anatoa mahitaji fresh kote, sasa kama mnavyojua wanawake hua wanachukulia mtoto kama "Collateral" ili kupiga pesa...
  6. Lovinho

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Ituha Mbeya

    Wakuu Kuna kiwanja kinauzwa maeneo ya Ituha Mbeya mjini, kiwanja kina ukubwa wa 14.8m to 13.4m, kipo karibu na soko na huduma zote muhimu zinapatikana karibu kabisa. Bei ya kiwanja ni 3M ila maelewano yapo. Contact: 0689 882280 Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Lovinho

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nisaidieni kuamua hii kesi

    Labda itakua bikra.. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom