Salaam kwenu wana JF, hususani jukwaa la biashara, chumi na ujasiriamali.
Mwenzenu nimetingwa na nimekwama kidogo kwenye biashara yangu. Naombeni kujua ni sehemu gani nawezakupata mkopo wa dharura (ndani ya masaa 24 au 48) kwa riba nafuu. Mkopo ninaohitaji ni laki7 na nitarejesha ndani ya...
Habari za kazi wakuu,
Natafuta Butcher ya kukodi jijini Dar es Saalam, kwa yeyote anaeweza kunisaidia kwa namna moja au nyingine namkaribisha tafadhari.
Butcha inaweza kuwa mtaa wowote, naona itanifaa tu.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima kwenu wakuu.
Nahitaji butcha ya kukodi jijini Dar es saalam. Kwaajili ya kuuza nyama ya ng'ombe, kama ikiwa navifaa baadhi itakuwa vizuri zaidi. Ila hata kama haina vile vifaa basic za kuuzia ila iwe butcha nitashukuru pia.
Mi nipo maeneo ya Bunju, kama ikipatikana mitaa ya karibu na...
Mi niko Bunju mkuu, kama ikipatika karibu karibu na maeneo haya nitashukuru. Ikiwa mbali pia nitaangalia kama naweza kwenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio, Mama yangu aliniambia mwanamke anajifunza kupenda. Hivyo nichague mwanaume mwingine kwa kutumia akili( yani awe na vigezo vyangu vingi ninavyo vipenda). Baada ya kuchagua niolewe. Nikafanya hivyo.
Nikaolewa wakati moyoni yupo mwanaume mwingine, harafu nikajifunza kumpenda mme wangu.
Mme...
Heshima kwenu wakuu.
Nahitaji bucha ya kukodi jijini Dar es Saalam kwa ajili ya kuuza nyama ya ng'ombe, kama likiwa na vifaa baadhi itakuwa vizuri zaidi. Ila hata kama halina vile vifaa basic za kuuzia ila liwe butcha nitashukuru pia.
Mwenye kujua au kuwa nalo ataniambia hapa public au hata PM...
Nimemuelewa sana mtoa post. Kitu cha muhimu kwenye ndoa ni mtu kuchukuana na mtu wanao fanana tabia na focus za maisha, na sio kuwahi kuolewa.
Mungu kaumba diverses, kama mwanaume mwingine anataka mwanamke mdogo sana, kuna mwingine anataka mwanamke mkubwa.
Waacheni wanawake waolewe pale...
Umeumia sana! Maneno mengi hayavunji mfupa. Wewe ndio unaejijua vyema. Utatamba kuuzidi hata ukoo wangu wote pesa, ila haisaidii. Kama una pesa kweli hungekuwa na maumivu kuja kujimwaga hapa kwa JF kuyatuliza walau kidogo baada ya kuachwa[emoji12].
Ni vyema ukatafuta pesa mkuu, hautaambiwa tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.