Recent content by lovedboy

  1. lovedboy

    CHADEMA kumshitaki Makonda kwa uvunjifu wa sheria

    Wew ndo hujitambui n family yako
  2. lovedboy

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Edward Hoseah

    Sijaona sababu y kumtoa Edward Hosea maana yupo pale lkn hana makali kisheria ata akiwa n ushindi 100% bado akipeleka fail kwa DPP bac kila kitu mwisho pale
  3. lovedboy

    Hotel kubwa Morogoro kubomolewa

    Serikali iliyokuwepo haikuwa na meno sasa now n serikali mpya kila aliyetenda kosa atawajibika. Ikombolewe tuu sio eneo la majengo ni sehemu ya wazi tena linapita Bomba la Mafuta
  4. lovedboy

    Mahakama Kuu Kanda ya Tabora yatupilia mbali pingamizi la Wakili Husna dhidi ya Kafulila

    Eheeee Mwenyezi Mungu tusaidie cc wanyonge mwenye aki yake apewa. Mbariki xana Kafulila mjalie apate aki yake
  5. lovedboy

    Rais Magufuli: Hakuna sherehe ya miaka 54 ya Uhuru mwaka huu, Badala yake mkafanye Usafi

    Hii bora tunasubir afute ziara za mwenge nao unatumia ela yetu nying wakati cha maana hakuna. Hii n nzuri mapumziko yapo lkn Co kwenda uwanjani n kusafisha mazingira nayo n uhuru tosha. Fisiemu. Mtaisoma no.
  6. lovedboy

    Rufaa Majimboni

    Jimbo la Mbagala dsm
  7. lovedboy

    Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

    Hiv mtoa mada unalenga nn aswa?????? Hizo propaganda peleka kulee time for Changes.
  8. lovedboy

    Kauli ya Lowassa siyo sawa, inahamasisha vurugu

    Kulinda kura zetu n muhimu sana mwaka uhuu maana Bila kufanya hivyo CCM wataiba kura zetu kwa kuingiza mabox yenye kura feki. Ulizia ilikuwaje 2010 jimbo la LINDI MJINI Bila wananchi kukesha na kulinda kula pale almashauri palikuwa hapatoshi
  9. lovedboy

    Picha: Tofauti kati ya Magufuli na Lowassa wakati wa Uchukuaji wa Fomu za Urais

    Hao ndo Kundi kubwa la wa Tanzania maskini na wenyekuona maisha Magumu yaan Jua letu, mvua yetu, baridi yetu, joto kali vumbi kufanya kazi za kutafuta riziki ya kila cku maana hucpofanya kazi cku moja n wew hupati riziki. Sasa tumeamua kutafuta unafuhu wa maisha kupitia vyama vingine like UKAWA...
  10. lovedboy

    Kilichojiri uchukuaji wa fomu ya mgombea Urais kupitia UKAWA-Lowassa

    Mim nasema mabadiliko ni mwaka huu. October 25, 2015 mwisho wa CCM Tukishindwa uhuu mwaka mim Bac kupiga kura
  11. lovedboy

    Kazi inaanza na majeshi yapo imara

    Wengine mashambulizi tunaanzia kwenye vijiwe vya vijana wote kazi ni moja kuing'oa CCM madarakan
  12. lovedboy

    Dr. Slaa na Prof. Baregu kwenda ACT-Wazalendo?

    Hv kweli mleta mada uliwaza au umekurupuka tuu
  13. lovedboy

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Ali mbaya sana Dodoma akatwe au hasikatwe Chama kinameguka. Majina tiar yapo lakin jinsi ya kuyatangaza ndo shidah iliyobaki ndo maana wanachelewa na kuongeza mda
  14. lovedboy

    Tanzania: Petroleum Act, 2015 (Muswada wa Mafuta na Gesi) - Uchambuzi

    Miwatamu hii ikipita inakula kwa wa Tanzania maana ata ikija serikali makini itakuwa na wakati mgumu wa kuvunja mikataba. Inabid ujue hii ikipita watu wanasaini mikataba bihashara imekwisha
Back
Top Bottom