Umeandika vizuri kama kawaida Yako except ulipokuja ktk point ya dini, haswa upande wa uislamu..Sasa, ulichokiandika hapa kwa % kubwa kinashabihiana na mfumo wa ndoa na malezi uliopo ktk uislamu. Jaribu kupitia au kuuliza kwa wasomi wa kiislam kuhusu mada hii na utaona ukweli wa hili...
Sasa unauliza Mungu alikua na maana Gani badala ya kuuliza wanasayansi walikua na maana Gani kutofautiana na Mungu? Yaani tayari swali lako lishamuwekea shaka Mungu na kumuamini mwanasayansi..Ajabu ya Mwanadamu!
Watoto mlionao majumbani pamoja na kuwawekea ratiba ngumu za masomo ya kidunia muwape muda pia wa kumjua Mola wao..Ajabu unakomenti apa kwa uchungu kumbe nawe ktk nyumba Yako unatengeneza “Ma Anko" wa baadae.
Samahani jamani Mimi naomba niulize, hivi kazi ya Polisi, wanajeshi na wanaopigana ngumi ulingoni bila ugomvi si ndo hii..tuache mambo ya sijui wanajeshi ni watu wa kulinda nchi sijui nini..kimsingi waungane wamwagwe mtaani wakawasake Hawa watu..sasa Kuna haja Gani ya wao kulipwa fedha za Kodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.