Hivi hili kina nitafika rushwa zaidi. Hivi kama MTU mpuuzi kama Sizonje ambaye taarifa ameshachanganyikiwa hadi anasema mbele ya watu kuwa kua rais ni mateso sasa si aachie tu. Atoke bana ameshindwa nchi.
Kweli cdm walimuita Lowassa fisadi lkn imekuwa wa kwanza kuwahakikishia kuwa yeye sio fisadi. Na kila Mara anawaambia kuwa yeye sio fisadi na kama kuna mwenye ushaidi akastaki. Lkn pia hebu tuambieni kweli Lowasa ana ufisadi gani ambayo hamwezi kusema. Mbona majibu ya watu wenye ufisadi...
Kazi itakutangaza. Nakumbuka kwa kipindi huyu mheshimiwa akiwa waziri utalii ulikuwa unaoongoza kwa kuleta fedha za kigeni. Lei na majungu ya Kitwangala inakuwaje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.