tena ni aibu kabisa, mtu kasafiri na binti yake mkubwa anashusha kojo mbele ya kadamnasi, abiria wengi huogopa kujificha vichakani kwa hofu ya wanyama wakali na majambazi kwa hiyo wote hukojoa hapohapo karibu na basi, mbaya zaidi wengine wanashusha haja kubwa wakiwa wamejifunika kanga kubigubi...
Serikali inahangaika na sisimizi walioshiba matukutuku ya chakula wanajipostia maoni yao kwa raha zao, wanashida gani na serikali wakati hawana uwezo wa kuipindua?
Ishu ni je wale mashahidi vigogo wa serikali nao watakuja kutoa ushahidi upande wa mtuhumiwa? Mmoja amepatwa na msiba kuondokewa na mwenzi wake, kwa imani ya dini yake atatakiwa kukaa eda siku kadhaa, labda awe wa mwisho kutoa ushahidi na kesi iarishwe hadi siku za eda zipite. Waanze wale vigogo...
Ilianza safarini kuchimba dawa kando ya barabara na nyuma ya basi, ikazoeleka kwamba unaweza ukakojoa hadharani bila aibu huku watu wakikutazama. Wanaume na wanawake wakawa wanashusha mikoja mbele ya abiria wenzao bila aibu
Pamoja na imani ya kiislam mtu akifa anazikwa siku hiyohiyo, huyu alikuwa mtu mashuhuri kitaifa ni mume wa Rais. Itifaki ya mazishi ya kitaifa imezingatiwa? Je ni kweli kafa leo na kuzikwa leo leo au alishafariki siku kadhaa nyuma haikutangazwa mpaka maandalizi yakamilike ndio watangaze? Ni...
Hizi timu zimetoka wapi? Mbona ni timu moja hao? Ingekuwa ni timu mbili pangechimbika, wangerushiana matope ya kufa mtu. Kikwete ni mjuzi wa siasa za kuchafuana, huyo abdul angechafuliwa fasta kama ana kuna mpango wa kumfanya awe rais
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.