Recent content by LOTH HEMA

  1. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kijana Kitanzania kumvisha pete Mtoto wa Rais wa Kenya,Charlene Ruto

    Kwenda kuoa kwa nyumba ya rais si mchezo, kijana yuko fiti kielimu na kiuchumi
  2. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Kitengo Cha habari Cha Yanga kimepwaya,kwa miaka mitano kimeshindwa kuteka kizazi kipya Cha mashabiki hatimae wanachama

    Mbona mkuu wa idara hiyo ni kijana mdogo kashindwa nini?
  3. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Mene, Mene, Tekeli na Peresi": Maandishi Ukutani Kuhusu Nyufa na Ugomvi wa Ndani ya CCM

    Kuendelea kumshikilia Lissu mtima nyongo utawasambaratisha wale makada wa chama tawala, ni bora wamuachie ili mjuba Lissu akiwa nje wanakuwa pamoja kumkabili. Sasa hawana pa kuelekeza nguvu zao inabidi zitumike kusambaratishana wao kwa wao. Tena ni wakati wa kuelekea kupata mgombea mpya...
  4. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

    Ukioa we jua tu mko wengi mnaochangia penzi hata kama we ndio ulimbikiri ipo siku atataka kuonja mpiko wa nje una ladha gani. Kama kuna mwanaume mke wake hajawahi kugawa uroda nje aseme poa na kama kuna mwanaume hajawahi kula mke wa mtu aseme freshi tu
  5. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

    Wanaume waache wivu kwa wake zao hawataweza kuwadhibiti wasinyanduliwe na wanaume wengine. Ni kuwa mpole tu na kufahamu kuwa mkeo analiwa nje, haina haja ya kuanzisha ugomvi tulia uchapiwe, huo ndio ukweli wa maisha ya ndoa
  6. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Ni laana kubwa kwa mwanaume kutozaa mtoto dunian.

    usiwe na wasiwasi mjuba, maadamu mbunye zipo tutapata watoto tu hata kama tunaishi kibachela, ngoja tuzichape mbususu kisawasawa magetoni mwetu
  7. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    unajiita Makebo? Ungejiita mbunye tu ujulikane hivyo, acha ubishi dar ni kijiji cha wavuvi
  8. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

    kwa hiyo uko radhi mke wako azabutuliwe nje kisa tu umemuoa, fahamu kuwa utachomekewa mtoto wa nje na utalea ukidhani ni wako ametoka kiunoni mwako. Sawa, una mawazo ya wazee wetu hawakutaka kuanzisha varangati kisa tu wake zao wanagawa uroda nje. Waliishi nao muda wote mpaka mwisho wa uhai wao...
  9. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Dunia hii siwezi danganywa jambo nimeyapata maarifa sana kwa njia nyingi sana

    Hii ni moja ya ID ninoifikiria sana inaweza kuwa ya nani mtu maarufu kwenye fani fulani, na pengine huyu ni mwalimu wangu kwenye tasnia nilizo nazo. Hizi details kwa uchache zinanifikirisha sana
  10. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

    Kuna wakati hawa kataa ndoa wanakuwa na hoja maridhawa, si wa kubezwa na kuwaona ni wabovu na wame left group. Ni wazima na wanapeleka moto kisawasawa kwa demu yeyote atakayejipendekeza kwenye anga zao. Kataa ndoa wengi ni wale waliowahi kuoa wakaja kusalitiwa vibaya na wake zao...
  11. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

    Kuna wakati hawa kataa ndoa wanakuwa na hoja maridhawa, si wa kubezwa na kuwaona ni wabovu na wame left group. Ni wazima na wanapeleka moto kisawasawa kwa demu yeyote atakayejipendekeza kwenye anga zao. Kataa ndoa wengi ni wale waliowahi kuoa wakaja kusalitiwa vibaya na wake zao...
  12. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

    Kuna mama mmoja anamshangaa jamaa mmoja hajaoa tena tangu aachwe na mke wake yapata miaka mitano sasa. Huyo mama anamuambia kwa umri alio nao atafute mama mwenye watoto kuanzia wawili aoe maana mwenye mtoto mmoja au asiye na mtoto atamsumbua. Jamaa alimjibu kuwa kuliko kuoa mama mwenye watoto...
  13. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

    Mimama ya ndoa mbona inalika tu, Oeni vijana kabla hamjazeeka, ila mfahamu kwamba wake zenu watakuwa wanagawa mbususu kama njugu huko nje wakiombwa haijalishi mnawapelekea moto sana ndani au mko goigoi. Oeni mpate watoto wa kuendeleza koo zenu
  14. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania EWURA - Vifurushi vya internet na muda wake

    Ni EWURA au TCRA? sijaelewa hapa EWURA na internet wapi na wapi?
  15. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu kwa tulikopata Daraja la Kwanza kidato cha Nne , Elimu ikiwa bado Elimu 1970 up to 2003

    Siku hizi madogo karibu darasa zima wanapata one lakini taifa halisisimki kutaka kujua wakali hao, imekuwa ni kawaida tu. Hao wanafunzi hata wapate A saba hakuna wa kuwashangaa na kuwaona wana IQ kubwa
Back
Top Bottom