Recent content by LOTH HEMA

  1. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Madeleka: Nitakwenda Tabora kumtetea Sophia, kumtongoza Mkuu wa Mkoa siyo Jinai

    Sasa kutongozwa si ndio uanaume wenyewe, mtu anatongozwa halafu anatoa siri, si angekaa kimya tu? Huko ni kumdhalilisha dada wa watu
  2. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Kukojoa Hadharani yawa Fashion Dar Aibu na Adhabu Kali vihusike?

    tena ni aibu kabisa, mtu kasafiri na binti yake mkubwa anashusha kojo mbele ya kadamnasi, abiria wengi huogopa kujificha vichakani kwa hofu ya wanyama wakali na majambazi kwa hiyo wote hukojoa hapohapo karibu na basi, mbaya zaidi wengine wanashusha haja kubwa wakiwa wamejifunika kanga kubigubi...
  3. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa jamiiforums ni salama kiasi gani kwa wakosoaji wa serikali na wanaharakati wa mabadiliko ya uongozi nchini Tanzania?

    Serikali inahangaika na sisimizi walioshiba matukutuku ya chakula wanajipostia maoni yao kwa raha zao, wanashida gani na serikali wakati hawana uwezo wa kuipindua?
  4. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Brenda anaendelea kutoa ushahidi Kesi ya Lissu

  5. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Brenda anaendelea kutoa ushahidi Kesi ya Lissu

    Ishu ni je wale mashahidi vigogo wa serikali nao watakuja kutoa ushahidi upande wa mtuhumiwa? Mmoja amepatwa na msiba kuondokewa na mwenzi wake, kwa imani ya dini yake atatakiwa kukaa eda siku kadhaa, labda awe wa mwisho kutoa ushahidi na kesi iarishwe hadi siku za eda zipite. Waanze wale vigogo...
  6. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Kwa nini huwa ni Mzena au nje ya nchi ?

    Labda wakitaja muhimbili, mloganzila italeta hofu na sifa mbaya kwamba ukipelekwa hapo lazima ufu. Inabidi waseme Mzena
  7. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Kukojoa Hadharani yawa Fashion Dar Aibu na Adhabu Kali vihusike?

    Ilianza safarini kuchimba dawa kando ya barabara na nyuma ya basi, ikazoeleka kwamba unaweza ukakojoa hadharani bila aibu huku watu wakikutazama. Wanaume na wanawake wakawa wanashusha mikoja mbele ya abiria wenzao bila aibu
  8. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Ndugu zetu waislamu hebu legezeni kamba za imani, kiongozi wa kitaifa akitangulia isiwe tangazo la msiba saa nne, saa nne, saa saba maziko

    usilete janjajanja sheikh, jibu swali, inakuaje mnazika haraka haraka hivyo?
  9. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Hafidh Ameir Hassan, Mume wa Samia Suluhu Hassan, Tushamfukia tayari.. Amekufa mapema

    Pamoja na imani ya kiislam mtu akifa anazikwa siku hiyohiyo, huyu alikuwa mtu mashuhuri kitaifa ni mume wa Rais. Itifaki ya mazishi ya kitaifa imezingatiwa? Je ni kweli kafa leo na kuzikwa leo leo au alishafariki siku kadhaa nyuma haikutangazwa mpaka maandalizi yakamilike ndio watangaze? Ni...
  10. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Hizo comment zenye taswila ya watanzania uko FB,IG,JF,X JE ni kweli ni WATU AU AI?

    Katika kumi, mbili zinasikitika, nane zinasigina, fuatilia uone. Watu wana machungu na ghadhabu usiwachukulie poa
  11. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Abdul kufanya Ziara kwa Wakuu wa NCHI Afrika, ni Maandalizi ya Kutaka URAIS ?

    Hizi timu zimetoka wapi? Mbona ni timu moja hao? Ingekuwa ni timu mbili pangechimbika, wangerushiana matope ya kufa mtu. Kikwete ni mjuzi wa siasa za kuchafuana, huyo abdul angechafuliwa fasta kama ana kuna mpango wa kumfanya awe rais
  12. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Mswalieni mtume wajuba, naona mnatoa comment zisizo na utamaduni wa kitanzania, toeni pole
Back
Top Bottom