Kuendelea kumshikilia Lissu mtima nyongo utawasambaratisha wale makada wa chama tawala, ni bora wamuachie ili mjuba Lissu akiwa nje wanakuwa pamoja kumkabili. Sasa hawana pa kuelekeza nguvu zao inabidi zitumike kusambaratishana wao kwa wao. Tena ni wakati wa kuelekea kupata mgombea mpya...
Ukioa we jua tu mko wengi mnaochangia penzi hata kama we ndio ulimbikiri ipo siku atataka kuonja mpiko wa nje una ladha gani. Kama kuna mwanaume mke wake hajawahi kugawa uroda nje aseme poa na kama kuna mwanaume hajawahi kula mke wa mtu aseme freshi tu
Wanaume waache wivu kwa wake zao hawataweza kuwadhibiti wasinyanduliwe na wanaume wengine. Ni kuwa mpole tu na kufahamu kuwa mkeo analiwa nje, haina haja ya kuanzisha ugomvi tulia uchapiwe, huo ndio ukweli wa maisha ya ndoa
kwa hiyo uko radhi mke wako azabutuliwe nje kisa tu umemuoa, fahamu kuwa utachomekewa mtoto wa nje na utalea ukidhani ni wako ametoka kiunoni mwako. Sawa, una mawazo ya wazee wetu hawakutaka kuanzisha varangati kisa tu wake zao wanagawa uroda nje. Waliishi nao muda wote mpaka mwisho wa uhai wao...
Hii ni moja ya ID ninoifikiria sana inaweza kuwa ya nani mtu maarufu kwenye fani fulani, na pengine huyu ni mwalimu wangu kwenye tasnia nilizo nazo. Hizi details kwa uchache zinanifikirisha sana
Kuna wakati hawa kataa ndoa wanakuwa na hoja maridhawa, si wa kubezwa na kuwaona ni wabovu na wame left group. Ni wazima na wanapeleka moto kisawasawa kwa demu yeyote atakayejipendekeza kwenye anga zao. Kataa ndoa wengi ni wale waliowahi kuoa wakaja kusalitiwa vibaya na wake zao...
Kuna wakati hawa kataa ndoa wanakuwa na hoja maridhawa, si wa kubezwa na kuwaona ni wabovu na wame left group. Ni wazima na wanapeleka moto kisawasawa kwa demu yeyote atakayejipendekeza kwenye anga zao. Kataa ndoa wengi ni wale waliowahi kuoa wakaja kusalitiwa vibaya na wake zao...
Kuna mama mmoja anamshangaa jamaa mmoja hajaoa tena tangu aachwe na mke wake yapata miaka mitano sasa. Huyo mama anamuambia kwa umri alio nao atafute mama mwenye watoto kuanzia wawili aoe maana mwenye mtoto mmoja au asiye na mtoto atamsumbua. Jamaa alimjibu kuwa kuliko kuoa mama mwenye watoto...
Mimama ya ndoa mbona inalika tu, Oeni vijana kabla hamjazeeka, ila mfahamu kwamba wake zenu watakuwa wanagawa mbususu kama njugu huko nje wakiombwa haijalishi mnawapelekea moto sana ndani au mko goigoi. Oeni mpate watoto wa kuendeleza koo zenu
Siku hizi madogo karibu darasa zima wanapata one lakini taifa halisisimki kutaka kujua wakali hao, imekuwa ni kawaida tu. Hao wanafunzi hata wapate A saba hakuna wa kuwashangaa na kuwaona wana IQ kubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.