Ni mtindo mpya wa maisha. Ukisikia kataa ndoa hii ni kote kote hata wanawake nao hawataki ndoa. Masingo mama wengi ni masupa staa, wafanya biashara/wajasiriamali na wasomi/wanaharakati, wana maisha yao mazuri kiuchumi, wako smart wanajiweza, wanachohitaji ni watoto tu tena watoto wachache...
Mila na dini zimeshindwa kudhibiti, hiyo ndiyo fasheni mpya ya maisha. Usingo mama wengi wanautaka, wanaume wamegeuka wahanga wa mtindo huo. Wanawake wanazaa lakini hawataki kuishi na waliowazalisha kwa kuwa wanajiweza kiuchumi zaidi ya baba watoto. Wanawake wanataka watoto tu bwana hawataki...
alitia fora na kushangaza waombolezaji wa msiba wa baba yake alipokuja na chakula toka arusha kulisha waombolezaji. Huo msosi wa msiba harusi ikasome, watu walikula kana kwamba wako kwenye harusi ya kifahari, chakula safi, maji na kinywaji baridi/soda kwa utaratibu uliopangika
lazima mchanganyiko utokee, kuna offspring watatokea, mind kuna waarabu, wasomali, waethipia, waafrika wa west african countries/states. Itakuwa ni mwingiliano wa ajabu wa tamaduni na dini na miaka ya mbeleni kutakuwa na wanyarwanda wa ajabu/machotara sio kama hawa tuliozoea kuwaona. Historia...
ukute waarabu ni wengi hilo itakuwa ni bomu litakalolipuka siku za mbeleni wakati hata huyo kagame atakuwa hayupo dunia hii. Itakuwa kama mali sudan na chad hakuna utulivu. Wale hawataacha asili ya vurugu zao watajiona ni nchi yao na wana haki nayo. Sidhani kama kuna wazungu watakaoletwa rwanda...
hao itakuwa ni waafrika wa afrika magharibi, na kama waarabu watakuwemo itakuwa ni mwanzo wa kuja kuleta vurugu siku za mbeleni watakapozaliana na kuwa wengi. Kumbuka wana dini yao hawataiacha na itakuwa ni kichocheo cha kuleta fujo eneo hilo
Huo mpango ni tishio la usalama kwa mataifa ya maziwa makuu, rwanda kwa hulka yake itataka kujitanua kwa nguvu kuanzisha uasi mwingine kwa mataifa jirani kama hayatakuwa imara kwa ulinzi na usalama wa mipaka yao. Maziwa makuu kuna nchi kubwa nyingine ambayo haijaguswa na uasi wa rwanda kwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.