Recent content by LOTH HEMA

  1. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Ni ipi nafasi ya Tanzania katika Migogoro unaoendelea Mashariki ya Kati?

    Kama haina ubalozi wa israel mjini dodoma au dar basi haina nafasi. Lakini kuna balozi za palestina na iran zipo hata saudia upo ubalozi wao ongeza na yemen. Kutegemea ubalozi wa israel ulioko nairobi kenya kunaonesha nafasi ya tanzania kwenye migogoro ya mashariki ya kati haipo
  2. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Juni 11, 2026: Siku ya kimkakati? Huku kesi ya Lissu, kule Bajeti ya Serikali na uzinduzi wa Kombe la Dunia

    Lissu kiboko yao daadeeki! Mtu mmoja tu anawapelekesha puta
  3. LOTH HEMA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huenda kuchelewa kwako kuoa au kuolewa ndiko kunachelewesha kuyafikia mafanikio ya ndoto za maisha yako.

    Narudia tena kusema ndoa ni nzuri ila mambo ya kusalitiana hayatakubalika kamwe, usaliti ni hatari, hakuna mwanaume anayependa ku share love na njemba nyingine, adhabu kali itatumika ikibainika kuna mtu anapakua mzinga wa mtu
  4. LOTH HEMA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huenda kuchelewa kwako kuoa au kuolewa ndiko kunachelewesha kuyafikia mafanikio ya ndoto za maisha yako.

    sasa unaishije bila ndoa, au we ni mshangazi, single mother?
  5. LOTH HEMA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huenda kuchelewa kwako kuoa au kuolewa ndiko kunachelewesha kuyafikia mafanikio ya ndoto za maisha yako.

    Gentleman ndoa ni nzuri kama wanandoa wataendana na kurandana katika maisha yao. Hofu ni kwamba kuna kusalitiwa na ndoa kuvurugika kabisa
  6. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Hospitali ni makao ya majini na wachawi

    Kwa hapa sibishi hata kama nina nguvu za kuogopwa na majini/mashetani ukweli hospitalini si kuzuri
  7. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Kwanini walimu wenye Shahada za elimu katika masomo ya sanaa wasiajiriwe shule za msingi ili kupunguza idadi ya wahitimu wa fani hizo mitaani?

    Huu ni ujuha, yaani nisome taaluma/fani fulani ili nije niajiriwe, nikae mitaani miaka kumi na zaidi nasubiria nafasi za ajira, huu si ni uendawazimu? Hicho cheti nitakiweka sandukuni na kuingia mitaani kusaka fursa za kujiajiri, ziko nyingi zinahitaji maono na mentality tu kuchukua hatua
  8. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Kwanini walimu wenye Shahada za elimu katika masomo ya sanaa wasiajiriwe shule za msingi ili kupunguza idadi ya wahitimu wa fani hizo mitaani?

    Maana yake huo ujuzi/maarifa hayahitajiki, mkiambiwa mkasome VETA muwe mnaelewa
  9. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Kaa nami bwana ni usiku sana usiniache gizani

    Mungu ni pendo, kobazi nao wanakaribishwa kuimba tenzi za rohoni
  10. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Kaa nami bwana ni usiku sana usiniache gizani

    Kumbe tenzi za rohoni zipo za kiingereza wajuba, ni hizihizi za kiswahili pia huimbwa kwa kiingereza kwa sauti ileile
  11. LOTH HEMA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiona kitu gani toka kwa mwanamke hisia za mapenzi zinakuijia?

    Paja
  12. LOTH HEMA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Kuna pastor anahubiri binti kabla hajaolewa ajitahidi kuwa na uchumi mzuri, awe tayari ana asset
  13. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Je hii ni kweli: Baada ya kutoka Urusi kaenda Oman Ujombani?

    Ni ziara ya kiserikali au ni matanuzi tu?
  14. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    nimesema kajibu kimtindo, kajibu kidiplomasia, western hawajaambulia kitu hapo. Angejibu nimejipanga vema, western wangepata point ya kukazia dhamira ya kutaka kuweka vikwazo ila akajibu hakuna vikwazo, sasa hapo kamuudhi nani?
Back
Top Bottom