Kama haina ubalozi wa israel mjini dodoma au dar basi haina nafasi. Lakini kuna balozi za palestina na iran zipo hata saudia upo ubalozi wao ongeza na yemen. Kutegemea ubalozi wa israel ulioko nairobi kenya kunaonesha nafasi ya tanzania kwenye migogoro ya mashariki ya kati haipo
Narudia tena kusema ndoa ni nzuri ila mambo ya kusalitiana hayatakubalika kamwe, usaliti ni hatari, hakuna mwanaume anayependa ku share love na njemba nyingine, adhabu kali itatumika ikibainika kuna mtu anapakua mzinga wa mtu
Huu ni ujuha, yaani nisome taaluma/fani fulani ili nije niajiriwe, nikae mitaani miaka kumi na zaidi nasubiria nafasi za ajira, huu si ni uendawazimu? Hicho cheti nitakiweka sandukuni na kuingia mitaani kusaka fursa za kujiajiri, ziko nyingi zinahitaji maono na mentality tu kuchukua hatua
nimesema kajibu kimtindo, kajibu kidiplomasia, western hawajaambulia kitu hapo. Angejibu nimejipanga vema, western wangepata point ya kukazia dhamira ya kutaka kuweka vikwazo ila akajibu hakuna vikwazo, sasa hapo kamuudhi nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.