Recent content by LOTH HEMA

  1. LOTH HEMA

    Waliokufa kabla ya Yesu kuja duniani wataokolewaje?

    hueleweka kwa jinsi rohoni
  2. LOTH HEMA

    Waliokufa kabla ya Yesu kuja duniani wataokolewaje?

    hueleweka kwa jinsi rohoni
  3. LOTH HEMA

    Waliokufa kabla ya Yesu kuja duniani wataokolewaje?

    hueleweka kwa jinsi rohoni
  4. LOTH HEMA

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Kuna bosi aliloga ofisi ili wakaguzi wakija washindwe kumkagua na kubaini makosa yake ya ubadhirifu wa fedha. Wakaguzi wakija wanajisikia vibaya na kuondoka haraka kurudi walikotoka bila kufanya kazi waliyoijia
  5. LOTH HEMA

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Sisi ofisini kwetu tukigundua/kuona bosi wetu au mfanyakazi mwenzetu ana kiada/imani za kishirikina hatutampa ushirikiano kwenye imani yake hiyo. Hatutakula mbuzi/chakula chenye viashiria vya kishirikina, atakula yeye na washirikina wenzake, staff hugawanyika pande mbili, upande wa bosi...
  6. LOTH HEMA

    Bado mpaka sasa hakuna biashara iliyopewa jina la mfereji wa Hormuz?

    Na yale mabango yanayoandikwa nyuma ya magari na bajaj. Labda wachina waliopo bongo waje na maji ya hormuz pure drinking water kama yale maji yao ya mshangazi
  7. LOTH HEMA

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Kuna dini inakubatia sana ushirikina ndio maana waumini wake wengi ni washirikina. Vigagula wengi ni wa dini ile. Ile dini nyingine inayokemea mpaka waganga wa kienyeji ushirikina haupenyi huko. Ukipenya basi itakuwa ni mtu mmoja mmoja na atabainika haraka na kufukuzwa kundini kama hatabadilika...
  8. LOTH HEMA

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    sasa kama hiyo dini inakubali ushirikina kwa nini isitajwe?
  9. LOTH HEMA

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Serikali ilaumiwe kwa kutoa elimu nusunusu kwa wananchi wake. Sasa kama wananchi wengi wangekuwa na elimu ya chuo kikuu imani za kishirikina zingepata wapi nafasi? Wananchi wengi wana elimu ndogo za darasa la saba, form four failure hawa ndio hutekwa na imani za kishirikina wakiamini ndio huwapa...
  10. LOTH HEMA

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    huo sio ushindi kwa iran kupiga base za marekani na miji ya israel ndio muone iran ni mwamba. Marekani bado haijaingia vitani kuisagasaga iran mjue hilo. Wale majirani nao hawajaingia vitani kujibu mashambulizi kikamilifu. Huo mlango wa hormuz iran hana ubavu wa kuufunga, nchi bado hazijaamua...
  11. LOTH HEMA

    DOKEZO Walimu walioajiriwa Mwaka 2025 Dodoma Jiji waliokidhi vigezo inadaiwa waombwa kitu kidogo ili wathibitishwe kazini

    Kuthibitishwa kazini ni takwa la sheria na kanuni za utumishi wa umma, why uombwe rushwa? Usitoe rushwa kwa jambo hilo, automatically utathibitishwa tu kazini kadri muda unavyokwenda. Muda ukipita wa kuthibitishwa kazini ofisa utumishi atawajibika kwa uzembe huo kwa kutomthibitisha kazini...
  12. LOTH HEMA

    Waliokufa kabla ya Yesu kuja duniani wataokolewaje?

    Mambo ya Mungu hayachunguziki kwa akili za kibinadamu
  13. LOTH HEMA

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    iran imebondeka vya kutosha na kubaki kujirushia mabomu bila mpangilio huoni kuwa imeshindwa? Hii vita itailemea tu iran, inatapatapa tu kwa sasa
Back
Top Bottom