Kuna bosi aliloga ofisi ili wakaguzi wakija washindwe kumkagua na kubaini makosa yake ya ubadhirifu wa fedha. Wakaguzi wakija wanajisikia vibaya na kuondoka haraka kurudi walikotoka bila kufanya kazi waliyoijia
Sisi ofisini kwetu tukigundua/kuona bosi wetu au mfanyakazi mwenzetu ana kiada/imani za kishirikina hatutampa ushirikiano kwenye imani yake hiyo. Hatutakula mbuzi/chakula chenye viashiria vya kishirikina, atakula yeye na washirikina wenzake, staff hugawanyika pande mbili, upande wa bosi...
Na yale mabango yanayoandikwa nyuma ya magari na bajaj. Labda wachina waliopo bongo waje na maji ya hormuz pure drinking water kama yale maji yao ya mshangazi
Kuna dini inakubatia sana ushirikina ndio maana waumini wake wengi ni washirikina. Vigagula wengi ni wa dini ile. Ile dini nyingine inayokemea mpaka waganga wa kienyeji ushirikina haupenyi huko. Ukipenya basi itakuwa ni mtu mmoja mmoja na atabainika haraka na kufukuzwa kundini kama hatabadilika...
Serikali ilaumiwe kwa kutoa elimu nusunusu kwa wananchi wake. Sasa kama wananchi wengi wangekuwa na elimu ya chuo kikuu imani za kishirikina zingepata wapi nafasi? Wananchi wengi wana elimu ndogo za darasa la saba, form four failure hawa ndio hutekwa na imani za kishirikina wakiamini ndio huwapa...
huo sio ushindi kwa iran kupiga base za marekani na miji ya israel ndio muone iran ni mwamba. Marekani bado haijaingia vitani kuisagasaga iran mjue hilo. Wale majirani nao hawajaingia vitani kujibu mashambulizi kikamilifu. Huo mlango wa hormuz iran hana ubavu wa kuufunga, nchi bado hazijaamua...
Kuthibitishwa kazini ni takwa la sheria na kanuni za utumishi wa umma, why uombwe rushwa? Usitoe rushwa kwa jambo hilo, automatically utathibitishwa tu kazini kadri muda unavyokwenda. Muda ukipita wa kuthibitishwa kazini ofisa utumishi atawajibika kwa uzembe huo kwa kutomthibitisha kazini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.