Recent content by LOTH HEMA

  1. LOTH HEMA

    Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    huwaoni hao mastaa na wanaharakati ongeza na wasomi, uliona wana waume japo wana watoto?
  2. LOTH HEMA

    Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Ni mtindo mpya wa maisha. Ukisikia kataa ndoa hii ni kote kote hata wanawake nao hawataki ndoa. Masingo mama wengi ni masupa staa, wafanya biashara/wajasiriamali na wasomi/wanaharakati, wana maisha yao mazuri kiuchumi, wako smart wanajiweza, wanachohitaji ni watoto tu tena watoto wachache...
  3. LOTH HEMA

    Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Mila na dini zimeshindwa kudhibiti, hiyo ndiyo fasheni mpya ya maisha. Usingo mama wengi wanautaka, wanaume wamegeuka wahanga wa mtindo huo. Wanawake wanazaa lakini hawataki kuishi na waliowazalisha kwa kuwa wanajiweza kiuchumi zaidi ya baba watoto. Wanawake wanataka watoto tu bwana hawataki...
  4. LOTH HEMA

    Mimi ni nani?

    kama ni tapeli kwa nini asikamatwe?
  5. LOTH HEMA

    Mimi ni nani?

    pumbavu, aliyekuambia tapeli ni nani? Kuwa na adabu
  6. LOTH HEMA

    Rwanda itafaidika na nini kupokea wakimbizi toka Ulaya

    ndiyo, nafaidika nazo
  7. LOTH HEMA

    Arusha: Nabii Mkuu Geordabie Atoa Shilingi Milioni 100 za Ujenzi wa Barabara ya Likamba-Kisongo

    alitia fora na kushangaza waombolezaji wa msiba wa baba yake alipokuja na chakula toka arusha kulisha waombolezaji. Huo msosi wa msiba harusi ikasome, watu walikula kana kwamba wako kwenye harusi ya kifahari, chakula safi, maji na kinywaji baridi/soda kwa utaratibu uliopangika
  8. LOTH HEMA

    Marehemu Captain G Habash aliwahi sema binti yake ataolewa na tajiri tu

    Huyo binti ana uzuri gani, mbona sio pisi kali? Hayo yalikuwa maneno ya mlevi
  9. LOTH HEMA

    Rwanda itafaidika na nini kupokea wakimbizi toka Ulaya

    lazima mchanganyiko utokee, kuna offspring watatokea, mind kuna waarabu, wasomali, waethipia, waafrika wa west african countries/states. Itakuwa ni mwingiliano wa ajabu wa tamaduni na dini na miaka ya mbeleni kutakuwa na wanyarwanda wa ajabu/machotara sio kama hawa tuliozoea kuwaona. Historia...
  10. LOTH HEMA

    Rwanda itafaidika na nini kupokea wakimbizi toka Ulaya

    watamletea viwanda ili rwanda iwe kama ulaya au atawageuza vibaraka wake?
  11. LOTH HEMA

    Rwanda itafaidika na nini kupokea wakimbizi toka Ulaya

    ukute waarabu ni wengi hilo itakuwa ni bomu litakalolipuka siku za mbeleni wakati hata huyo kagame atakuwa hayupo dunia hii. Itakuwa kama mali sudan na chad hakuna utulivu. Wale hawataacha asili ya vurugu zao watajiona ni nchi yao na wana haki nayo. Sidhani kama kuna wazungu watakaoletwa rwanda...
  12. LOTH HEMA

    Rwanda itafaidika na nini kupokea wakimbizi toka Ulaya

    hao itakuwa ni waafrika wa afrika magharibi, na kama waarabu watakuwemo itakuwa ni mwanzo wa kuja kuleta vurugu siku za mbeleni watakapozaliana na kuwa wengi. Kumbuka wana dini yao hawataiacha na itakuwa ni kichocheo cha kuleta fujo eneo hilo
  13. LOTH HEMA

    Waomba hifadhi kupelekwa Rwanda ni kutengeneza migogoro kwa Tanzania, Congo na Uganda

    Huo mpango ni tishio la usalama kwa mataifa ya maziwa makuu, rwanda kwa hulka yake itataka kujitanua kwa nguvu kuanzisha uasi mwingine kwa mataifa jirani kama hayatakuwa imara kwa ulinzi na usalama wa mipaka yao. Maziwa makuu kuna nchi kubwa nyingine ambayo haijaguswa na uasi wa rwanda kwa kuwa...
Back
Top Bottom