Hayo Maswali Unajiuliza Kwasababu Unaiwaza Sana Dunia Jambo Ambalo Haliwezi Kukupa Majibu Ya Hayo Maswali Kwamwee
Kwanza Unapaswa Kujua MWENYEZI MUNGU Hakumuumba Mwanaadamu Kwasababu Ya Maisha Ya Dunia Bali Dunia Ni Njia Tu Ya Kufika Huko Penye Uzima Wa Milele Ndio Maana Unaona Mapungufu Mengi...
Mkuu Hizi nchi za Wazungu Mara nyingi sio Nzuri Kwenda bila kuwa na mwenyeji (kujaribu maisha)
Hata Ukiwa na mwenyeji kwa Mara ya kwanza Unaweza kubahatisha ukaenda lakini Mara nyingi lazima upitie Tabu kidogo
Wengi wamekuwa wakienda kwa kuungaunga mfano mtu anaenda Germany Basi Ataenda...
Mkuu Hawa Viumbe wa hii Nchi huwezi wafahamisha kitu wakakuelewa kwasababu tayari Wana mihuri ya ujinga katika vichwa vyao waliyopigwa na wanasiasa wao ili wafanikishe malengo yao. nikupe mfano Mimi nakaumbuka Kati ya mwaka 2009/10 Wakati Marekani wanagawa neti za bure kila mtaa kwaajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.