Omary zablon
New Member
- Sep 1, 2021
- 4
- 14
Hello guys mambo vipi poleni na majukumu. Kwa majina Naitwa Omary naishi Nairobi ila elimu yangu ya Msingi mpaka Chuo nimepata Tanzania. Naamini hii ni platform kubwa sanaa ambayo imejaa watu wa kila aina hivyo basi nategemea once nitakavyo leta swala langu kwa ajiri ya ushauli ni furaha yangu ntapata comments za kujenga.
Kubwa kabisa mpaka naandika hii issue ni juu ya mimi kutaka kwenda nchini Canada kwa lengo la kutafuta maisha naamini mimi ni kijana ambaye bado nguvu ninazo na changamoto ni sehemu ya maisha.
Hivyo basi natamani kwenda Canada kwa ajiri ya kuangalia upande mwingine wa shillings then nirudi nchini kwetu kwa ajiri ya kusapotiana na vijana wenzangu, sio kwamba huku hakuna fursa lahasha zipo ila kwangu naona kama mungu hajanijaria hivyo nahitaji ku jaribu upande mwingini.
Ahsanteni na samahi kwa usumbufu
Kubwa kabisa mpaka naandika hii issue ni juu ya mimi kutaka kwenda nchini Canada kwa lengo la kutafuta maisha naamini mimi ni kijana ambaye bado nguvu ninazo na changamoto ni sehemu ya maisha.
Hivyo basi natamani kwenda Canada kwa ajiri ya kuangalia upande mwingine wa shillings then nirudi nchini kwetu kwa ajiri ya kusapotiana na vijana wenzangu, sio kwamba huku hakuna fursa lahasha zipo ila kwangu naona kama mungu hajanijaria hivyo nahitaji ku jaribu upande mwingini.
Ahsanteni na samahi kwa usumbufu