Recent content by LostkiD

  1. L

    Maisha kwenye miradi inayohusu ufadhili wa pesa za wahisani

    Habari zenu Wana Jambi Kwa miaka kadhaa nimefanya kazi kwenye eneo la miradi hasa inayohusu maswala ya ukimwi! Nikapata uzoefu kwenye maeneo kadhaa Kwanza mara nyingi ni maisha ambayo most of the time mpo under pressure mnakimbizana na performance vikao daily simu kila wakati maBoss wanataka...
  2. L

    Msaada ninaomba kuambiwa ni chuo gani ? Kina toa shahada ya ufuatiliaji na utekelezaji wa miradi kwa Tanzania

    Institute of project management kipo dar es salaam posta karibu na sanamu la askari
  3. L

    Monitoring and Evaluation Officer at TAWIDO March, 2024

    Habari mkuu tupe experience Yako as M&E unasomea kozi gani vyuo ilinuwe competent upitie wapi
  4. L

    Ni kitu gani kinakosekana kwa Tanzania na nchi zote za kiafrika kiasi cha kugeuka kituko, ombaomba, na kopakopa?

    Ishu kubwa ni utawala Bora "beautiful Ones are not yet born"tunaowapa nafasi wakikalia viti wanasahau walichotumwa wanajilimbikizia mapesa, ukisoma report ya CAG ishu kubwa ni uadilifu kama mtu anawez kujichotea mapesa then hafanywi kitu au anaweza kufanya uzembe then fakitokei chochote basi ...
  5. L

    Yanga haina sababu ya kuhofia Simba, Nia ni kuondoa uhuni pale TFF

    Ila yanga amechukua ubingwa mara tatu chini ya karia na bodi ya league so uhuni umeanza huu mwaka ? Kama uhuni ulikuepo means hata nyie yanga mlinufaika nao ...sawa Kuna uhuni mbona game nyingine za league mnacheza ? Chini ya bodi hyhy ya league
  6. L

    Niulize Chochote kuhusu kazi za viwandani

    Malipo yapoje? Je Sheria za kazi mfno likizo,overtime,? Nasikia pia Kuna manyanyaso huko izo kazi vipato haviendani na kazi?
  7. L

    Nina uhakika Tanzania tutapoteza fursa ya kuandaa AFCON 2027

    Tatizo letu kila eneo tunaleta siasa,waziri kabudi alijibu hiyo hoja ya ubovu wa pitch nakusema marekebisho hayahusiani na eneo la kuchezea, imagine siku zinavyozidi kwenda ndio vitu vinazid kua vibovu no maintenance na hakuna mtu anajali kwasasa lupaso kumekua hovyo
  8. L

    PreGE2025 Siasa zetu ziwe na mipaka yake, mwanasiasa anapotamka jambo la uongo, sheria ichukue mkondo wake!

    Changamoto hua wote wanakosea ila anaechukuliwa hatua ni chadema ? Kuna yule mwenyekiti wa ccm cjui kanda gani aliwahi sema viongoz watakaopinga maendleo atadeal nao SAS hakuna kauli yyt kutoka kwa mamlaka refa wa mchezo ndo huyhy team yake inacheza ni ngumu...hakuna muhimili ambao unajihimili...
  9. L

    PreGE2025 Siasa zetu ziwe na mipaka yake, mwanasiasa anapotamka jambo la uongo, sheria ichukue mkondo wake!

    Siasa za Tz na mamlaka hua zipo active kuangalia upande Mmoja Kuna double standard sana
  10. L

    PreGE2025 Siasa zetu ziwe na mipaka yake, mwanasiasa anapotamka jambo la uongo, sheria ichukue mkondo wake!

    Vipi swala la mwenezi kusema chadema inapanga kuleta virusi ili uchaguzi mkuu usifanyike mkuu hujalikemea??
  11. L

    Mashindano ya kufuturisha: Waislam are you happy?

    Muongozo inajulikana kua wanapaswa kufuturishwa ni wenye uhitaji masikin mafukara mayatima ....ila kwenye dunia ya ushindani ni vizuri kilamtu akachagua njia yake kama mtu anafuturisha matajiri mwengine anaweza kwenda kwa yatima mwengine anaweza kwenda kwa maskini akawalisha na asipige picha...
  12. L

    Ushahidi huu, Simba hawakuwahi kufanyiwa vurugu popote mechi ya Dabi

    Hakuna sehem yyt Simba wamesema wamefanyiwa vurugu ! Simba walizuiliwa kuingia uwanjani ! Meneja wa uwanja kamishna wa mchezo wakasema hawana taarifa
  13. L

    SoC04 Wahitimu wote wa vyuo wajitolee katika sekta ya umma mwaka mmoja

    Kwamba mkuu hili kundi watajitolea bila ya kifutajasho? Posho? Wataalam wa afya wanafanya inten ila hua wanapata malipo mwaka mzima je hao wote watafanya bila ya malipo ? Huoni km ufanisi utakua n mdogo
  14. L

    SoC04 Mapendekezo ya Kutatua Changamoto za Sekta ya Afya Tanzania

    Kwa eneo la idadi ndogo ya watumishi ni eneo ambalo serikali inapaswa iligeukie kwa ukubwa kwa sababu mtaani Kuna idadi kubwa ya wataalam wa sekta ya afya ila hawana ajira kama serikali ulinasema inatoa ajira kuendana na bajeti but changamoto ni kubwa
  15. L

    Nikapige kozi gani ya afya nimechoka kula chaki

    Kama unaweza kusoma health management system 3yrs,au clinical dentist, clinical optometry, radiology physiotherapy katk both level diploma and degree
Back
Top Bottom