Habari zenu Wana Jambi
Kwa miaka kadhaa nimefanya kazi kwenye eneo la miradi hasa inayohusu maswala ya ukimwi! Nikapata uzoefu kwenye maeneo kadhaa
Kwanza mara nyingi ni maisha ambayo most of the time mpo under pressure mnakimbizana na performance vikao daily simu kila wakati maBoss wanataka...
Ishu kubwa ni utawala Bora "beautiful Ones are not yet born"tunaowapa nafasi wakikalia viti wanasahau walichotumwa wanajilimbikizia mapesa, ukisoma report ya CAG ishu kubwa ni uadilifu kama mtu anawez kujichotea mapesa then hafanywi kitu au anaweza kufanya uzembe then fakitokei chochote basi ...
Ila yanga amechukua ubingwa mara tatu chini ya karia na bodi ya league so uhuni umeanza huu mwaka ? Kama uhuni ulikuepo means hata nyie yanga mlinufaika nao ...sawa Kuna uhuni mbona game nyingine za league mnacheza ? Chini ya bodi hyhy ya league
Tatizo letu kila eneo tunaleta siasa,waziri kabudi alijibu hiyo hoja ya ubovu wa pitch nakusema marekebisho hayahusiani na eneo la kuchezea, imagine siku zinavyozidi kwenda ndio vitu vinazid kua vibovu no maintenance na hakuna mtu anajali kwasasa lupaso kumekua hovyo
Changamoto hua wote wanakosea ila anaechukuliwa hatua ni chadema ? Kuna yule mwenyekiti wa ccm cjui kanda gani aliwahi sema viongoz watakaopinga maendleo atadeal nao SAS hakuna kauli yyt kutoka kwa mamlaka refa wa mchezo ndo huyhy team yake inacheza ni ngumu...hakuna muhimili ambao unajihimili...
Muongozo inajulikana kua wanapaswa kufuturishwa ni wenye uhitaji masikin mafukara mayatima
....ila kwenye dunia ya ushindani ni vizuri kilamtu akachagua njia yake kama mtu anafuturisha matajiri mwengine anaweza kwenda kwa yatima mwengine anaweza kwenda kwa maskini akawalisha na asipige picha...
Kwamba mkuu hili kundi watajitolea bila ya kifutajasho? Posho? Wataalam wa afya wanafanya inten ila hua wanapata malipo mwaka mzima je hao wote watafanya bila ya malipo ? Huoni km ufanisi utakua n mdogo
Kwa eneo la idadi ndogo ya watumishi ni eneo ambalo serikali inapaswa iligeukie kwa ukubwa kwa sababu mtaani Kuna idadi kubwa ya wataalam wa sekta ya afya ila hawana ajira kama serikali ulinasema inatoa ajira kuendana na bajeti but changamoto ni kubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.