Habari wa kuu,
Nakumbuka kitambo siku moja nilikuwa napiga story na shangazi Yangu kuhusu maswala ya ndoa ndipo akaniuliza kuwa ninapenda kuoa mwanamke wa namna gani, nikamwambia ninapenda mwanamke mzuri sana ndio awe mke wangu,lakini yeye akaniambia namnukuu "wanawake wazuri kwa muonekano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.