Recent content by Lorungumu

  1. L

    PICHA: Dr. Slaa kwenye kikao na CEO Round Table - Kempinski Hotel

    Nimekubali Chadema wako juu yaani magamba wanaogopa mpaka wakiona magwanda wanachanganyikiwa
  2. L

    Mwandishi wa habari wa BBC akamatwa na polisi Loliondo

    Kwani hujui kwamba Mwigulu ndio amekuwa msemaji wa polisi mahojiano yote kati ya polisi na Lwakatare lazima yapitie kwake kwanza yeye pia ndio reception ya polisi ndio maana video feki badala ya kupelekwa polisi anapelekewa yeye kwanza
  3. L

    Hali tete CCM Lumumba nusura masumbwi yafumuke kuhojiwa wajumbe

    Wametoka kwenye mafunzo ya kutengeneza video feki sasa wameamua kupambana wenyewe kwa wenyewe wapi Mwigulu Chemba mzee wa video feki
  4. L

    Mnyika atangaza maandamano tarehe 16 Machi

    Tuko pamoja kamanda Mnyika hata ukisema tuanze saa kumi na mbili asubuhi tuko tayari tumechoshwa na ubabaishaji wa hawa magamba
  5. L

    Eti ataongea na wazee wa dar ess alaam: hivi hawa wazee si wanaona nchi ilivyo sasa?

    Mtaji wa Ccm ni watu masikini na ambao hawajaenda shule ndio maana wanafunzi wakifeli wanashangilia kwasababu mtaji wao unaongezeka Baba MwanaAsha jaribu kuongea na wasomi siku moja uone moto wake kama unachoma
  6. L

    Juliana Shonza amlipua Mbowe

    Huyu Chakula ya Nape hana mpya
  7. L

    CCM mabingwa wa viini macho

    Sasa nimeamini Nape sio mzima anahitaji matibabu makubwa ya akili
  8. L

    Pinda adanganya tena bungeni

    Huyu mfalme wa Nyuki hana maana kabisa amezoea kusema uongo alafu akibanwa anajifanya kulia juzi ametudanganya kwamba amemaliza mgogoro wa Gesi kule Mtwara kumbe hakuna lolote ni uongo mtupu na ukijaribu kwenda tena Mtwara watakupokea kwa mishale wananchi wamechoka na uongo wako
  9. L

    MBUNGE H. KIGWANGALA Ashushuliwa na M/kiti Zungu

    Vipi unataka Mods wawe na akili ndogo kama za Ndugai Minacho na bibi Kiroboto?
  10. L

    William Malecela na Abdala Bulembo na Mkuu wa Wilaya wapandisha bendera ya CHADEMA Mlandizi

    Hii nimeipenda Ccm wanarusha mawe wakati wanajua wako kwenye nyumba ya vioo wanategemea nini? Matokeo yake wameiona Chezea Chadema wewe chama Makini, magamba mkilianzisha peoples power wanamalizia kabisa
  11. L

    MBUNGE H. KIGWANGALA Ashushuliwa na M/kiti Zungu

    Kigwangala sidhani kama kuna mgonjwa atakuja kwako umtibu au umpe ushauri kwasababu hauna akili wewe mwenyewe unatakiwa ukatibiwe akili nimefurahi sana kitu Zungu amekufanyia leo maana hukuwa na cha kuchangia zaidi ya kuongea pumba subiri wale ziro wenzako Ndugai Mimacho na bibi Kiroboto wawepo...
  12. L

    CCM UDOM waunga mkono kipigo cha wakina Rage wataka iwe ndio njia pekee ya kulinda usalama

    Kila siku nasema ukabila na udini Tanzania unaletwa na CCM
  13. L

    Picha - Kinana akinunua wanachama wapya hadharani - Kigoma

    Kumbe ndio maana Tembo wetu wanakwisha maskini mtoto wangu ataona tembo kweli kwa uhongaji wa namna hii? juzi nilipita Serengeti nikawaona tembo wanaangusha miti yote ya kijani kwa hasira watakuwa wamejua adui yao ni hawa wanaovaa nguo za kijani wanafikiri miti ni kina Kinana a.k.a Dentisti na...
  14. L

    TBC ni television ya Taifa au ya chama fulani?

    Hivi TBCCM bado ipo? kuliko niangalie TBC afadhali nizime TV yangu isinimalizie umeme bure
Back
Top Bottom