Nakubaliana nawe kabisaa ila mazoea mabaya ndo maana ilikua ngumu kucut off.La kumuona kila siku na kukaushiwa ndo haswaa penye mtihani maana kila nikiwaza hilo pozi linaisha.
Ishu sio dudu km unavodhani,wala pesa ndo maana nikasema mapema nina uwezo msije mkadhani nimevutiwa na hela au natafuta hela.Tatizo nililogundua kwangu ni kukosekana emotional satisfaction kutoka kwa mume wangu km alivosema mchanguaji mmoja.Mume hajali mambo yangu kiivo.Hata usimsimulia stress...
Thanx my sis.I hear you!Katika safari yangu ya ndoa nimejifunza mengi na nimefanya mengi kurescue situation hasa kwenye ishu za michepuko wa mume.Nimefanya hiki na kile ila mwisho naishia kusali tu maana kuna kipindi mtu unataka hata kufa kwa unayofind out.Mtu unajaribu hili na lile ukidhani...
Thank u so much.Haya maneno yamenipa nguvu Sijui nisemeje!Wengi wanakimbilia kunijudge hawajui ninayopitia kwenye ndoa.Sema tu whateva I have been going thru haijustify mm kucheat.I kno that for sure na ndo maana ninajitahidi kushinda huu mtihani.
kuna watu mmekaa kuhukumu tu wenzenu.Nimeeleza navojisikia pengine mawazo yenu yatanipa nguvu ya kushinda hili.Najua its very wrong na namshukuru Mungu ameniepushia hadi leo hakuna anything physical btn us.Nimejitahidi kumu-avoid sana maana kuna kipindi tulikua kwenye mazingira flan very...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.