Kwa ninavodhanii sikuiz watumish wapo wengii...wapo piaaa wanaotumika na nguvu za giza kwa kivuli cha dini (hii sijamshtumu mtu ila wapo wengi tu) lakini pia waliotumwa kufanya kazi ya Mungu kiukweli pia wapo...My take...tuheshimu dini za wenzetu ata kama hatuamini katika dini izo....Simama na...
Nafikir labda haujamuelewa ishu iko hv...yn inapotokea wakawa pamoja either kwa kutimiza majukumu ya mtto au kwa shughuli nyingne lazima watakumbusha enzi tu....
Umewah ona nikilalamika? sikuzote mimi nasupport utendaj kaz wa bandar..kwa vifaaa ambayo wanatumia na kaz wanayoifanya wanajitahidi sanaaa...ucheleweshaj wa kontena bandarn uko upande wa TRA...husiongeee kitu kama huijui bandar
Yaaanii me nashanga...wamegharamiikia kuongeza gati wamenunua na mshine za kisasa (ship to shore gantry crane) na hazijaanza ata kaziii ndo kwanzaaa zinamalizikia installation na wametumia gharama kubwa sana kununua izo mashine mpk walipeleka watu trainning ireland..leo wanabinafsisha kwelii?? dah
hii comment yko et ndo naiona leo toka mwak juzi...Anyways tulioana mwaka jana mwez wa 6....Now tuna watoto wawili..huyu wa pili tumempata baada ya ndoaa..
Kama picha inavoonesha hapo Catdrige OG kabisa za HP... ni compatible kwenye HP laserjet pro M402, MFP426 zipo mbili...zote nagawa kwa Laki moja tu....Ni mpya kabisa na Sealed
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.