Kama ni mchagga umeshatengenezwa mzee, its a matter of time kuona ukweli.Kuna kipindi fulan ilikuwa nawakumbuka baadh ya Ma EX wangu, ila uyu Mwanamke nliempat saivi Aise...Amefanya niwafukie Ma Ex woteee, Kiukwelii Nampenda sana na Hilo halija ubishii...Ana nitreat kama Mume yaani, na kizuri zaidi Ni mtu wa dini... Ni pisi moja kali sana ambayo Tabia zake na ilivyo pisi ata mtu huez Amini...Amenibadilisha kwa kias kikubwa sana...Nadiliki kusema kuwa kama ikatokea tutaachana Sitakuja tena kupenda kama ninavompenda uyu dada....miez imepita nilimpeleka home yani mpaka wazee na mawifi wamempenda kwanzia tabia mpka umbo....wao wenyew wamekiri kuwa hii ni pisi kali, sasa hv tuko kwny mipango ya kuonaa....Mpaka dak hii na kila sifaa ya kuitwa Mke...Sijajua uko mbeleni Maana wanawake hubadilika...Ila kwa vyovyote vile me ndo nishampenda tenaa sanaaaa....Yaani saiv ata apite Mwanamke gani kwangu naona wakawaida sanaa...Sijui kanipa nn uyu mwanamke