Recent content by LordMasele III

  1. LordMasele III

    JamiiForums Tanzania Kipi kilikufanya uamini Mungu yupo au hayupo?

    Aisee nani kachukua dictionary Yangu?? Aaa kumbe umetafsiri mwishoni.
  2. LordMasele III

    JamiiForums Tanzania Unafikiri kwa nini CCM haina ushawishi kwa members wengi humu JF?

    Nipo zangu barararani muda huu lakini kuna mtu amepita anaendesha baiskeli imeandikwa samia suluhu hassan na rangi ya ccm, nawaulizeni nyie wakuu nimfanyeje mtu huyu?.
  3. LordMasele III

    JamiiForums Tanzania Nisikilizwe nishauriwe ukweli mtupu nisije kujuta maisha yangu yote

    RUdi ex wangu tujenge maisha. Note: hata mimi ni msukuma lakini.
  4. LordMasele III

    JamiiForums Tanzania Site ya biashara Kahama

    Asante kwa ushauri mkuu
  5. LordMasele III

    JamiiForums Tanzania Site ya biashara Kahama

    Sawa mkuu nashukuru kwa ushauri
  6. LordMasele III

    JamiiForums Tanzania Site ya biashara Kahama

    Shukrani sana mkuu.
  7. LordMasele III

    JamiiForums Tanzania Site ya biashara Kahama

    Viatu vya special. Eneo liwe Kahama mjini. Fremu isizidi laki moja kwa mwezi mkuu.
  8. LordMasele III

    JamiiForums Tanzania Site ya biashara Kahama

    😁😁😁 Sawa mkuu
  9. LordMasele III

    JamiiForums Tanzania Site ya biashara Kahama

    Asante mkuu
  10. LordMasele III

    JamiiForums Tanzania Site ya biashara Kahama

    Vipya mkuu
  11. LordMasele III

    JamiiForums Tanzania Site ya biashara Kahama

    Khabari wakuu! Nipo Kahama mjini natafuta site iliyochangamka Nataka nifungue duka la viatu. Yeyote mwenyeji wa Kahama anaefahamu site nzuri naomba anisaidie ili niweze kupata. Nawasilisha wakuu
  12. LordMasele III

    JamiiForums Tanzania Wakulima wa Korosho Mtwara, Mnada wa kwanza kilo 4075-4070

    kwa anaefahamu bei ya ufuta kwa mkoa wa mbeya naombeni msaada wakuu.
  13. LordMasele III

    JamiiForums Tanzania Kama umefaulu vizuri PCB kasomee Radiology au Doctor of Dental Surgery (DDS)

    Bro JKCI kuna 1. Cardiologists 2.Interventional cardiologists. 3.Cardiovascular technologists. 4.Radiographers (medical imaging technologist) 5. Sonographers. Sasa kama radiographer (medical imaging technologist) wananasoma miaka tatu na wanatambuliwa na Baraza la waradiolojia, why not...
Back
Top Bottom