Recent content by Lord-N

  1. Lord-N

    Ulimwengu ujao (future gen) hospital na garage zitakuwa tofauti kabisa na za sasa

    Hawatak kilichotokea sayar zingne kama mars etc kitokee tena dunian.. walishajifunza kutokana na makosa
  2. Lord-N

    Ulimwengu ujao (future gen) hospital na garage zitakuwa tofauti kabisa na za sasa

    Advanced technology ni hatar zaidi ya kuish kawaida When you reach a level ambayo mwanadamu anauwezo wa ku control death. Basi ni hatar. Maana ndio kitu pekee mwanadamu ana hofu nacho.
  3. Lord-N

    Ulimwengu ujao (future gen) hospital na garage zitakuwa tofauti kabisa na za sasa

    Naweza sema .. ulichoandika ni vice versa Ni hiv dunia haitaruhusu hatua hyo kufikiwa kutokana na imani za kidini etc Kitakachotokea ni kwamba dunia itaharibiwa makusudi na itaanza upya kabisa . Zama za mawe... Na hili si kwamba ni jipya. Ishatokea hivyo zaid ya mara 900k... Unachokiona sasa...
  4. Lord-N

    Bila sadaka kwanza hupati huduma ya maombi ya Mtumishi Elisha Malisa. Je, tunanunua Huduma ya Kiroho?

    Ukishajiona umeanza pata mawazo ya kupata msada kupitia watu wa aina hyo. Kaka,... Dah ngoja niishie hapa
  5. Lord-N

    Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

    Unahis hili taifa limefanya nn cha maana... Tulio ughaibuni had tunaona aibu kujitambulisha tunatoka nchi hzi za east africa... Mtu unaona bora utaje hata south africa.. ni aibu tupu.. ni vile wa Tz waamezoea umasikin.. ila unapokuja dunian huku ndio unaelewa kuwa watu wanaish kwenye ufukara wa...
  6. Lord-N

    Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

    Kaka.. kuna watu wanajua kutumia fursa. Akiiba . Mapesa anaenda tumia vzur... Asilimia 80 ya matajir wa bongo mitaji wamepatia kwenye hizo chain.. wenye mahotel.. wamiliki wa tv na redio station weng .. wamilik wa mabasi na malori.. na wanasiasa weng. Infwaact... Serikal za africa ni kichaka cha...
  7. Lord-N

    Hili la bwana mdogo (mwanafunzi) kujisomea kwenye taa za barabarani limekaa kisiasa kabisa

    Na wamemvesha tshirt ya bongo ili mtu asijesema kuwa ni nchi nyingne.. ila hayo mambo yapo kwel
  8. Lord-N

    UFC 287: Israel Adesanya vs Alex Pereira II. Stylebender akipoteza itakuwa mwisho wa career yake UFC (?)

    Unapokua unaish huku kwa wazungu.. halaf unaskia black person kashinda kitu flan against hao watu weupe.. daaah kuna feeling flan nzur sana unaifeel. Hata kama awe anatokea wap Waafrica huku tunavyojifeel its like wote tunatoka nchi moja yan.. aisee... Thumbs up kwa all black people...
  9. Lord-N

    Kanisa la 'Roman Catholic' linaipotosha Pasaka

    Nisamehe kwenye uandish
  10. Lord-N

    Kanisa la 'Roman Catholic' linaipotosha Pasaka

    Mbona kila kitu kiko waz kaka kila kitu kimeadikwa vzur kwenye vitab vyenye history ya kanisa.. hizi sikukuu zote za kikanisa ni kwel ziko tofaut na matukio ya tareh kamili sabab pia ni ngumu kitambua exactly datea za kilichotokea zaman.. kwahyo. Kanisa liliamua kutumia mantiki ya sikukuu na...
  11. Lord-N

    Wanaume wengi hamna uwezo tena siku hizi, maneno matupu na kujisifu bure

    Sawa.. kwahyo ulitaka akufanyeje.. hebu dadavua step by step nasis tupate somo.
  12. Lord-N

    Benki,microfinance,Saccos,Credit companies na Walimu ni ndugu wa damu

    Ualimu na majeshi ni kada znazobeba walionusurika kufeli masomo.. sasa unategemea nn .. hawana self esteem..ni watu wasiojiamini maisha yao yote kutoka na kufeli huko. Ndio mana ni kada znazoonewa mno
  13. Lord-N

    Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe

    Nchi ina laana hyo.. hadi watajane walioitenda ile dhambi. Bila hvyo tegemeeni njaaa na karaha sizizoisha
  14. Lord-N

    Tabia inayoharibu maisha ya wanawake

    Usiusemee moyo wa mtu blaza.. mwanamke had kazalishwa na bado una unamuwazia. Dah.. wanaume hatujifunz tu
  15. Lord-N

    Tabia inayoharibu maisha ya wanawake

    Ukitaka uish vzur.. acha lawama.. kila mtu ana hak ya kupenda. Sasa umemtongoza hajakupenda kapenda mwingne.. inakua dhambi?.. ukiona karud kwako tena ujue unaenda tumika tu . Vijana someni alama za nyakat
Back
Top Bottom