Recent content by lord mwendokasi

  1. lord mwendokasi

    Waliofanya interview TRA

    Tulizaaa!! Mtapewaa taarifa Yule Boi [emoji1241]
  2. lord mwendokasi

    Iphone 5s (used)

    280 mwisho
  3. lord mwendokasi

    Hivi Idriss hana washauri? Ana umri gani?

    Wanaume Hatufatiliani Fata maisha yako bro!
  4. lord mwendokasi

    Iphone 5s (used)

    iphone 5s GB 16 GOLD * sehemu ya earphone inasumbua * *Bei Tsh 300000 "NiPM" kwa maelezo zaidi
  5. lord mwendokasi

    Wastara kapewa Shilingi Milioni 15 na Mkuu wa nchi, yeye kama nani?

    wacha kutia siasa kwenye kila Jambo #Shithole
  6. lord mwendokasi

    Natafuta tenda ya kusambaza Samaki wa Baharini na Ziwani

    Habari za wakati huu wadau!, kama Topic inavyojieleza Natafuta tenda ya kusambaza samaki aina zote kwenye Mahotel, migahawa, shule na madukani. AINA YA SAMAKI: Sato , Sangara, vibua, kamongo, Tasi, Changu, kolekole, pweza, Ngisi BEI: bei maelewao kulingana na Kilogram ENEO: Napatikana Dar...
  7. lord mwendokasi

    Je, wajua (Episode 1) Toka Youtube

    Orodha hii ya video zisizopendwa sana za YouTube ina video za juu 40 zilizo na zisizopendwa zaidi wakati wote, zilizopatikana kwenye chati za YouTube. Hesabu za nyimbo zisiyopendezwa inachukuliwa moja kwa moja kutoka ukurasa wa video yenyewe. Wimbo wa muziki wa Justin Bieber "Baby" umesimama...
  8. lord mwendokasi

    Official video: Diamond Platnumz Ft Morgan Heritage - Hallelujah

    [emoji817][emoji817][emoji817] ngoma kali ile muambie ampe credit Wizkid kwanza
  9. lord mwendokasi

    JE UTAJUAJE WEWE Ni MHENGA?

    UTAJUAJE KAMA WEWE NI MUHENGA. zifuatazo ni factors za kujijuaa kama wwe ni mhenga[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji223][emoji223][emoji87] 1. Kama ulikata daftari mara mbili. Kipande kimoja ukaacha nyumbani na kingine ukaenda nacho shule. We ni muhenga. 2. Kama ulitumia kipande cha...
Back
Top Bottom