nina assignment muhimu nimegoogle na discussion bado hakijaeleweka swali ni hili discuss what appears to be central theme to all religions and how it contributes in the construction of a society
Thanks ndugu zangu,kweli kurudi kwa dokta wa kwanza sikukumbuka. Nitarudi. Waliocomment niache ngono nadhani wanatania wakati nipo siriaz. Toka nioe sijawahi kuonja nje na kwa uhakika mimi na mke wangu hatuna ugonjwa wowote wa zinaa. Nashukuru wandugu kwa ushauri ulio bora,wanaocomment mambo ya...
Mimi ni mwanaume mwenye miaka 27,nimeoa na nina mtoto mmoja. Nimekuwa nikiumwa sana na uume iwapo sipo karibu na mke wangu,hasa ninaposafiri. Nilienda kupima kila kitu,magonjwa ya zinaa na hata Hiv sikupatwa na tatizo. Ila nikikaa wiki moja tu bila kukutana na wife maumivu yanaanza utadhani...
Tupo pamoja ndugu zangu,mpaka sasa hakuna ninayeishi naye,kila mtu kwake,na wote wanataka ndoa na mimi niende kwao kujitambulisha rasmi. Kiukweli mawazo yananitesa mpaka naota ndoto mbaya,wazazi wangu hawanielewi kwasababu tangu mtoto nilikuwa mpole na mcha Mungu,wanajuta kwa mimi kusoma...
nimekuelewa ndugu yangu,mimi mwenyewe najuta ndio nikaona niombe ushauri kwenu ndugu zangu. Kuoa wote siwezi na kwa sasa nipo nao kwa kuwa sijapata suluhisho la kudumu,mawazo ya wadau nayoyapata nayachuja ili niyafanyie kazi.
nashukuru Shantel,sasa kwenye nguvu za jadi ndio sijui itakuwaaje. Mimi siamini mambo hayo ila wao wanaamini na wanataka wadhuriane wao kwa wao,nimejaribu kuwasihi wasifanye hivyo ila kila mmoja anaapa kumwendea mwenzie kwa waganga kama nikionesha upendeleo kwa yoyote. Kati yetu watatu kila mtu...
nashukuru sana ndugu yangu,matunzo mpaka sasa napeleka,ila kwa siri kwani kati yao hakuna aneyejua kipato changu halisi kwa mwezi,namudu gharama ila niliyemvisha pete yeye hataki nipeleke matumizi kwa mtoto ila in future yupo tayari kuishi na huyo mtoto bila kipingamizi chochote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.