Tupo pamoja ndugu zangu,mpaka sasa hakuna ninayeishi naye,kila mtu kwake,na wote wanataka ndoa na mimi niende kwao kujitambulisha rasmi. Kiukweli mawazo yananitesa mpaka naota ndoto mbaya,wazazi wangu hawanielewi kwasababu tangu mtoto nilikuwa mpole na mcha Mungu,wanajuta kwa mimi kusoma...