Uzi upo vizuri Sana! Mimi nauliza nikitaka kujua kwa wastani kwa mwezi ninatumia unit ngapi ninafanyeje? Ili niweze kujiridhisha na tariff niliyonayo kwa Sasa.
Inategemea na tafsiri yako ya kazi - kwa ujumla shughuli yoyote halali inayomwingizia mtu kipato ni kazi! Umaskini siyo laana ni mtihani wake Mwenyenzi Mungu. Lazima ikumbukwe kwamba matajiri ni maskini watarajiwa. Unayesema wewe ni maskini inategemea unamlinganisha nani! Mtu huyo huyo unayesema...
Pole sana ndugu yangu kwa msiba huu mzito uliokupata! Kusahau siyo rahisi sana itachukua muda mrefu. La msingi ni kupambana na zile hisia ( maumivu, huzuni n.k) unazosikia wakati unapomkumbuka hizi ndizo zinazosababisha matatizo. Kulingana na imani yako lazima ujue mambo yafuatayo; Mwenyenzi...
Kadhia na madhila tumeyatengeneza wenyewe! Maadili, malezi na kuiga kila kitu vimefanya wanawake kutokutekeleza wajibu wao kama walezi wa familia. Kumbuka babu zetu walioa wanawake wengi wanakaa pamoja kwenye nyumba za nyasi na walikuwa wanaishi kwa furaha, amani na upendo wa hali ya juu!
Pole sana ndugu yangu! Haya mambo yapo na yanatesa watu wengi. Mimi ninavyoelewa suala na maombi ni lazima wewe mwenyewe uwe na imani ya kutosha, ndo unaweza kufanikiwa Mchungaji anachofanya ni kukuboost wewe ili uweze kupata nguvu za kutosha kujitibu mwenyewe. Kwa mantiki hiyo fuata plan B ya...
Viwanda vya NDANI viongeze ufanisi ili kupunguza gharama waweze kucompete! Kulinda viwanda vya NDANI kwa gharama ya kuwauwa Walala hoi haikubaliki na siyo haki!
Hii Ni kweli kabisa karibu Kila mwezi Kuna Dawa zinatolewa kwenye bima. Inasikitisha kuona wanachama Wanavyoongezeka Huduma zinadorora. Wahusika watoe maelezo humu humu. Uwazi unatakiwa kwenye suala hili!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.