Recent content by Lomunyaki Leteiva

  1. L

    Nimepata nafasi ya kwenda kusoma, mke wangu kanuna hataki kuniongelesha

    Wapendwa Kristu! Tumaini letu. Naombeni ushauri juu ya hili maana nimeona wengi wakileta shida zao na hupewa ushauri mtu. Hata nami nitapewa ushauri wa dhati kabisa. Mimi ni kijana ambaye nina mke tumeoana tangu 2008. Lakini tulipitia jaribu kubwa la kutokuwa na mtoto kwenye ndoa takribani...
  2. L

    Naomba ushauri, hana muda wa kuwasiliana na mimi

    Pole sana mwenzio nina mke ambaye tunamika 7 lakini hata ukisafiri miezi hana muda wa kukuesemesi wala kupiga simu. Kwahiyo wapo watu wa aina hiyo. Huo ni msalaba ila kwa kuwa wewe hujafunga naye pingu. Ni bora ukaachane naye mapema.
  3. L

    Hivi walimu ni wajinga au wapumbavu?

    Jamani nani awatetee hawa. Ila tatizo walimu wengi wamegushi vyeti. Hivyo huogopa mgomo ili kulinda ajira. Kilio cha walimu ni cha samaki.
  4. L

    Yaliyojiri Mwitongo, kutangaza kuwania urais kwa Makongoro Nyerere

    Subiri kijana moto ndo kwanza unavuka moshi. In mapema kusema huyu anafaa na huyu hafai
  5. L

    Kuwa makini na hawa matapeli

    Mungu akubariki kwa kututoa matongotongo
  6. L

    Nawatakieni Kwaresma Njema

    Asante sana kwa salamu nzuri na tamu katika mwezi huu wa Rehema. Nami nasema Asante Yesu kunipa tena nafasi ya kutengeneza maisha yangu kwa upya
  7. L

    Umeme wa solar kwa kasi ya ajabu

    mwanza mnapatikana wapi? Na vipi gharama zake? Pia ulipaji wake ukoje?
Back
Top Bottom