Wapendwa Kristu! Tumaini letu.
Naombeni ushauri juu ya hili maana nimeona wengi wakileta shida zao na hupewa ushauri mtu. Hata nami nitapewa ushauri wa dhati kabisa.
Mimi ni kijana ambaye nina mke tumeoana tangu 2008. Lakini tulipitia jaribu kubwa la kutokuwa na mtoto kwenye ndoa takribani...
Pole sana mwenzio nina mke ambaye tunamika 7 lakini hata ukisafiri miezi hana muda wa kukuesemesi wala kupiga simu. Kwahiyo wapo watu wa aina hiyo. Huo ni msalaba ila kwa kuwa wewe hujafunga naye pingu. Ni bora ukaachane naye mapema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.