Wee mtoa mada,mbona mada yako haina mashiko? Huna ushahidi ktk hili maana hata kapicha ka huyo bwana hakuna wala ya ofisi yake.. wee mtu akikuchukulia tu mkeo basi unakurupuka kuja kumsemea mbovu humu..?! Sasa mjinga nani hapa?yeye ama wewe.? Ndoto za Abunuas bana...!! Nenda kawape bongomovie...
Yani ITV bana ni kibokoo...na kwa sasa inapendwa na wajinga wengi kweli hasa wa UKAWA na wanaotoka mikoa ya Arusha na Moshi eti kisa ni ya mwana Ukawa mwenzao...Shutuuu...,ukabila,udini na ukanda utawamaliza nyie makawa-d
Kule mkoani Arusha, kuna ukoo wa "mboro", halafu kule Kagera kuna mto "Ngono" pia na kata ya "Katerero" je na majuna haya wewe unayatafsiri vipi? ...Hapo bado hatujaingia ktk nchi za watu km Japan,wee...utakaa chini kwa mshangao ama kicheko
Mtoa mada,nenda na bit zako mzee...usiimbe tu bila mpangilio.. Cheki jina la mshindi halafu niambie,hakuna wengine wenye uwezo wa kuongoza wananchi wa Malawi.? Urais sio Ufalme man, cheza na bit zako...Come on. ...
Bora mwelekeo huu ambao hata mimi binafsi naona ndio suluhisho.Hakunaga Serikali tatu ambapo hiyo Serikali yenyewe haina hata kipande cha ardhi,itajijengaje?
Tufumbue akili zetu maana macho yanaangalia lakini hayaoni. Hata wazee wetu waasisi wa Muungano,hawakuwahi hata siku moja kulumbana juu...
Ahahahahaa...uuuwiiii,watu wengine bana,limbukeni kweli.Me nilidhani ni ishu ya maana kumbe ni huu upuuzi? Daa..katiba iseme "Kama huna la maana kwa jamii,usililete humu JF"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.