Utajisikiaje ikikukuta hii?

Utajisikiaje ikikukuta hii?

Nimesoma majibu yenu wote nashukuruni sana ila ukweli tuliishi vizuri na sio kwamba Nilikua nategea ili nilipiwe hiyo nauli ...kuna vitu vingine bhana huwa vina muafect mtu kisaikolojia kweli iliniuma maana kila mtu aligeuka kutuangalia aliposema KATA mmoja.....

We ulitegemea kuserereka ukskuta mshkaji grease ajaweka ukabuma... Nd roho isingekuuma kama ukutegemea kulipiwa....acha kutuchora eroo
 
Habari zenu wana jamii? Naomba kuuliza hivi pale unapokutana na rafiki yako wa muda mrefu kwa mfano umesoma nae sekondari baada ya miaka kadhaa kupita mnakutana kwenye daladala mnasalimiana vizuri na kubadilishana mawazo mawili matatu, ikatokea kwamba yeye ndie anaeanza kushuka kwenye kituo halafu anatoa noti ya sh elfu kumi na kumkabidhi konda. Konda anamuuliza nikate nauli ya wawili? Bila kusita rafiki yako huyo anasema kata mmoja. Ilinitokea juzi kati daaah kiukweli roho iliniuma na kujisikia aibu japokua sikuwa nategemea kulipiwa nauli il a ubinadamu jamani..nimeamini kuna watu wana roho ngumu .
Hv shule hazimefungwa? Haya ndo matatzo yake...
 
Habari zenu wana jamii? Naomba kuuliza hivi pale unapokutana na rafiki yako wa muda mrefu kwa mfano umesoma nae sekondari baada ya miaka kadhaa kupita mnakutana kwenye daladala mnasalimiana vizuri na kubadilishana mawazo mawili matatu, ikatokea kwamba yeye ndie anaeanza kushuka kwenye kituo halafu anatoa noti ya sh elfu kumi na kumkabidhi konda. Konda anamuuliza nikate nauli ya wawili? Bila kusita rafiki yako huyo anasema kata mmoja. Ilinitokea juzi kati daaah kiukweli roho iliniuma na kujisikia aibu japokua sikuwa nategemea kulipiwa nauli il a ubinadamu jamani..nimeamini kuna watu wana roho ngumu .
Hv shule zimefungwa? Haya ndo matatzo yake...
 
We vipi? hakuna cha huruma wala nn? HANA BAJETI YAKO!!!!! Je ikitokea anakutana na marafiki kwa mwezi kwa scenario kama yako ndo awalipie wote? .......:rapture:
 
Habari zenu wana jamii? Naomba kuuliza hivi pale unapokutana na rafiki yako wa muda mrefu kwa mfano umesoma nae sekondari baada ya miaka kadhaa kupita mnakutana kwenye daladala mnasalimiana vizuri na kubadilishana mawazo mawili matatu, ikatokea kwamba yeye ndie anaeanza kushuka kwenye kituo halafu anatoa noti ya sh elfu kumi na kumkabidhi konda. Konda anamuuliza nikate nauli ya wawili? Bila kusita rafiki yako huyo anasema kata mmoja. Ilinitokea juzi kati daaah kiukweli roho iliniuma na kujisikia aibu japokua sikuwa nategemea kulipiwa nauli il a ubinadamu jamani..nimeamini kuna watu wana roho ngumu .
Maisha ya mjini ni bajeti ndugu! Alishapiga mahesabu yake vizuri sana kabla ya kuondoka nyumbani na hakujua atakutana na wewe. Usimwelewe vibaya, maisha ya mjini hata wewe unayafahamu sana.
 
Maisha ya mjini ni bajeti ndugu! Alishapiga mahesabu yake vizuri sana kabla ya kuondoka nyumbani na hakujua atakutana na wewe. Usimwelewe vibaya, maisha ya mjini hata wewe unayafahamu sana.
nashukuru ndugu yangu nimekuelewa sana
 
uzi wa kitoto sana huu unajua hata yeye anashangaa kwanini wewe hukulipa nauli ya wawili
 
:israel:kaazi kweli...hata nauli ya daladala imekua issue...
tubadilike jamani mujini maisha kwa bajeti...ingelikuwa busara kama ungemzuia asilipe,,,ulipe wewe halafu utuletee storiii ya uungwana na ukarimu wako kwa watu mliokuwa nao zamani.....:A S cry:
 
Nimesoma majibu yenu wote nashukuruni sana ila ukweli tuliishi vizuri na sio kwamba Nilikua nategea ili nilipiwe hiyo nauli ...kuna vitu vingine bhana huwa vina muafect mtu kisaikolojia kweli iliniuma maana kila mtu aligeuka kutuangalia aliposema KATA mmoja.....

Haya chagua tusi haraka.
 
Au nawewe ni kama yeye?

Wewe bana hapa mjini tunaishi kwa bajeti. hiyo ten mwenzio ndo bajet ya week. '' no change ina baki'' sa akikulipia wewe ye kesho atembee kwa miguu? ...Bongo tunapenda mitelezo sana( a.k.a kwa sadala). Nenda kenya hapo ucheki jamaa wanavyoishi full bajeti.
 
Kwahiyo mngekutana ubongo wote mnaelekea Mwanza au Mbeya ungetegemea napo akulipie nauli na asingelipa ungekuja hapa kutuonesha mshangao?

Jua kutoa ni moyo mkuu twitybird
 
Last edited by a moderator:
Huo ni upuuzi mwingine!! Kwani wakati unatoka nyumbani kwako hukuwa na nauli yako? Unajua anapoenda? Vipi kuhusu bajeti? Mulipanga wote? Hebu musilete ujamaa wenu wa kijima, kwa nini wewe hukumwambia asilipe ili ulipe wewe? Au wewe ni kilema uliyestahili kusaidiwa????????

Mkuu ukali wote wa nn sisi watz tumekua wakarimu sana ,hata mm nisingeweza kufanya hivyo kwani mianne utapungukiwa na nn


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huo ni upuuzi mwingine!!
Kwani wakati unatoka nyumbani kwako hukuwa na nauli yako? Unajua
anapoenda? Vipi kuhusu bajeti? Mulipanga wote? Hebu musilete ujamaa wenu
wa kijima, kwa nini wewe hukumwambia asilipe ili ulipe wewe? Au wewe ni
kilema uliyestahili kusaidiwa????????
nimeipandaje comment yako.chukua like yangu,kama vile ulikuwa kwenye mind yangu
 
Ahahahahaa...uuuwiiii,watu wengine bana,limbukeni kweli.Me nilidhani ni ishu ya maana kumbe ni huu upuuzi? Daa..katiba iseme "Kama huna la maana kwa jamii,usililete humu JF"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom