Hapa ukutu mama umejipindisha kumsomesha hadi akapata kazi, afu libaba inakuja ooh! Mwanangu waooo!! Bila hata aibu hajui mama alimfikishaje hadi akawa hinyo.
Aisee hapo andika maumivu. Mimi nilimkopesha mtu kama iyo ya kwako ukiongeza nusu, kaniambia atanilipa ndani ya siku nne, basi siku zikaendaaaaaaa, nilivokuwa naendelea kumdai kaniambia"ukitaka hela yako wasiliana na mama yangu, sitaki kuona sms yako wala call yako" nimekoma kumkopesha mtu hela...
Ila si ndio hawa hawa wanaume wanaowanunua hawa wanawake wanaojiuza? Kwani haiwezekani wanaume mkaandamana kupinga hatua za w/ke kutaka hela kwa kila tendo la ndoa? Laiti w/me mngekuwa na umoja kujiuza kwa w/ke kusingekuwa rahisi
Jamani truly m/mke akikeketwa hamu hapati hadi akiwa kwenye siku za kukonsiv ndo kidogo zinakuwapo hamu. La sivyo anaweza akakaa bila kukutana na m/me hata miezi, hii ndio inapelekea ndoa nyingi kuvunjika na michepuko juu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.