Recent content by Loli

  1. L

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa wanafunzi UDOM waingia siku ya pili

    mmh!! Kwahiyo vyuo vyote vinavyogoma ni vya kata au? maana sijaona logic ya comment yako.. udsm juzi waligoma na arusha nako kuna chuo waligoma kwa hiyo vyote ni vya kata au? Jua mtu anapogoma anatafuta haki ndio maana kila kukicha kuna migomo..
  2. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vitu vinavyoteka hisia za wanaume kimapenzi wamwonapo mwanamke...!

    hahahahahahaa
  3. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama hajafanya mapenzi anavimba maziwa. Ni kweli?.

    Mzee wa kugegeda, upo?? Naona ndo umefunga shule, cku nyng mimi bado kukusikia humu ndan...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Dar: Bomu laonekana makutano ya Barabara za Morogoro na Shekilango!

    He!! Jamani mna2ogopesha wakazi wa NHC!!!
  5. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wengi hawajui menstrual cycle inafanyaje kazi

    Kwanza la kupaswa kujua ni kwamba, kuna watu wana mizunguko tofauti, 21, 28 na mizunguko mirefu more days than that. Natumain nikisema hvyo mnanipata, 2chukulie 28 ambayo ni ya wengi, kwa hapa wanakuambia kuwa cku ya 14 from siku ya kwanza kuona tone la kwanza ktk huo mwezi, kama mzunguko wako...
  6. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wengi hawajui menstrual cycle inafanyaje kazi

    Kwanza la kupaswa kujua ni kwamba, kuna watu wana mizunguko tofauti, 21, 28 na mizunguko mirefu more days than that. Natumain nikisema hvyo mnanipata, 2chukulie 28 ambayo ni ya wengi, kwa hapa wanakuambia kuwa cku ya 14 from siku ya kwanza kuona tone la kwanza ktk huo mwezi, kama mzunguko wako...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Ajali: Basi la Hood laua mmoja na kujeruhi 27

    The issue hapa watu hamjui sehem za mbalimbali huko njiani, kwaiyo ungesikia eneo linaloitwa Chalinze mzee karibu na dodoma napo ungedai chalinze c ipo karibu na Dar? Ilo ni jina tu!
  8. L

    JamiiForums Tanzania Picha za kutisha: Upasuaji wa mtanzania akiwa na madawa ya kulevya tumboni mwake...

    Mi mwenyewe nastaajabu wanamezaje? Maana kwanza wanasema hazitaki maj, kwaiyo mtu anameza kavu kavu? Na kwngn nlisoma kuwa wanasukumizwa kwa ******u sasa si atachanika? Hapana, kuna njia wanatumia c bure! He!!
  9. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nini chanzo kikuu cha WANAWAKE/WANAUME WENYE NDOA KUTOKA NJE YA NDOA ZAO???????

    Mmh! Wanaume wanatesa vibaya!! Yan mwanamke hata ujitahd vp bado hawaridhiki, wanawaza ngono tu kila muda, ndo wanaosababisha wanawake tutafute pumziko. Na kweli ukimwi hau2achi kwa namna hii. Wanaume ni kero kero keroo wanaumiza sana wake zao!
  10. L

    JamiiForums Tanzania sms ya mafua..!!

    Hahahaaaa! Bwenyenz bungu akuponye dugu yagu.....
  11. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Swali kwa madada: VIPI MKONO WA SWETA?

    Mmetumia tafsida sijui ya Rwanda? Mbona mi sielewi, mkono wa sweta mkono wa sweta. Ndo nini?
  12. L

    JamiiForums Tanzania Zamani nilivyokuwa Mjinga!

    AMAVUBI umeniacha hoi bin taabani eti soko kuuuubwaaaa......
  13. L

    JamiiForums Tanzania Zamani nilivyokuwa Mjinga!

    Hahaaa! Eti umekua!!
  14. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania naomba kuuliza

    Kama ulidu mara 1, then haujadu tena (maana kuna mtu kumbaka mtu mara kwa mara) na umekaa muda mrefu like 3-4 yrs huyo bwana anaweza kukuta kama sealed kwa sababu Uke utakua umeshrink lakini bikra hakuna.
Back
Top Bottom