Huo ni mpango uliotengenezwa na uongozi wa ATCL.
Haiingii akilini kwamba hela nyingi kiasi hicho zinawekwa kwenye kasiki ofisini badala ya hela kuwekwa benki.Ufisadi bado unaendelea kwa kasi.
Serikali iangalie hili kwa jicho la pili.
Hao idu ni Nani hata waiamrishe nchi yetu??Wapite kushoto na waachane kabisa na mambo yetu.Tanzania ni nchi huru na yenye mamlaka kamili kuamua mambo yake.Uchaguzi umeisha na serikali imeshaudwa na kilichobaki ni kuchapa kazi.Chadema chadema chadema all the time.What is chadema??Sisi hatuitaki...
Kuanzia 7/5/2020,maombi yangu ya kurekebishiwa ankara yangu ya LUKU kufuatana na matumizi yangu ya units chini ya 70 kwa mwezi eti yanashughulikiwa mpaka leo! Nimeshakumbushia tena kupitia page hii hii lakini mpaka leo hakuna kilichofanyika.
Tanesco Arusha,wake up.Tatizo ni nini?
Bado ninaishangaa Sana Tanesco Arusha.
Wamekua wazito Sana kutuhudumia Sisi wateja ambao kiuhalisia ndiyo waajiri wao.Nimejaza fomu ya maombi ya kurekebishiwa tozo ya malipo ninayotozwa kupitia luku yangu kuanzia tarehe 7/5/2020,nikaambiwa watakuja kunitembelea Kwa ajili ya kufanya marekebisho...
Kila siku nilipigwa risasi!
Hiyo ndiyo Sera??.Hata ungepigwa risasi 2000,haiwezi kuwafanya waTZ wakupe kura za huruma.Bongo lala kabisa.
Eti ndo nguli wa sheria huyo!Labda sheria pori.
Hakika wewe ni zaidi ya mchawi.Kama umefikia mahali pa kuvunja ndoa ya wazazi wako ili upate mali wewe ni mbaya kuliko shetani.Isitoshe umri wako si wa kuwa tegemezi tena.Baba yako ana haki ya kukufukuza kwake.Mtakaaje wanaume wawili ndani ya nyumba moja.Pumbavu sana wewe!Endelea kusota maana...
Very right!
Tatizo ni kwamba wengi wa wanaopinga maendeleo hayo aliyoyafanya/anayoyafanya rais ni wote wana ulemavu wa akili na upeo wa kutambua ni 0%.
Akili zao wote ni kwa mlemavu mwenzao lisu asiyeitakia nchi yetu mema.
Sema huna hela ya kumpeleka mtoto wako kwenye hizo shule.
Sisi tunaosomesha watoto wetu huko tunaona maendeleo mazuri sana ya watoto
Katika masomo yote.
Na kama mtoto wako anasoma huko basi no kilaza ++++++
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.