Mtawala akiona ana mamlaka ya uhai ya wanachi ndio shida inaanzia hapo
Raisi kajikuta kiziwi
yanayolalamikiwa na wananchi kachukua uuzaji personal ya kichama badala ya kutafuta suluhu kama jina lake linavojinadi na linavotamkwa
Wanaomshauri kutoa speech ile wameharibu kila kitu speech ya...
Prps sio kwa kutegemea sana ukiweka nguvu huku utapoteza vitu vingi iweke iwe option kama umefanya oral intervuew muombe Mungu ipo siku utaitwa
I believe one day nitaitwa maana nishafanya oral interview kama tatu cha muhimu subira
Kinacho nishangaza
Mbona kipindi umoja wa maskofu KATOLIKI unatoa waraka wa kupinga kubinaifishwa kwa Bandari walitoa waraka bila kuwataja masheikh au Ansaar sunah au KKKT ,TAG ,
ipi ajenda baadhi ya madhehebu waraka unatoka unawataja kanisa la katoliki walitoa fact with their evidence...
Customer care utumishi kwa kweli wapewe maua yao wanajitahidi kusikiliza changamoto kama una uhakika umeonewa usissite kuwatafuta utasaidiwa
Japo usipokua mvumilivu unaweza kukaa hadi nusu saa simu ipo hewani haipokelewi
Lakini wanajitaidi kutatua tatizo wakipokea
Sijui itakuaje kama...
Nilipanda bus fulani kutoka dar kwenda dodoma ilokua dharura nikaacha shabiby sababu ilikua ikichelewa kama nusu saa nilijutia safari nilitoka dar saa sita na nusu mchana dar mbona dodoma nimefika saa nne usiku hadi shabiby niliyoacha ukanipita
Nikasema kweli kila kitu ni brand sitapata bus...
Nilichokizungumza ni kwamba yanga anaweza kuishi bila mayele lakini pia haiwezi kumtegemea Musonda kama Namba 9 ili atufikishe tunapohitaji
Maana sio kwamba yanga atacheza Ligi pekee bado anamashindano ya kufuzu kuingia makundi CAFCL huwezi kua na stricker kama Musonda wa kimataifa ambae pekee...
Anapapara tu
labda akitulia anaweza onesha uwezo zaidi ya uwo alionao maana anakosa utulivu na kwa leo mikimbio isio na umuhimu kuanguka bila kua na mpira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.