Recent content by Loeb S Mpalasinge

  1. Loeb S Mpalasinge

    Mtume Paulo hakuingia katika mahusiano kwa maisha yake yote.

    Habari za uhakika za Ibrahim zimeandikwa kwenye Biblia yetu.
  2. Loeb S Mpalasinge

    Je, bado kuna Waafrika wenye akili wanaoamini kuwa Uislam na Ukristo ndiyo dini za kweli za Mungu?

    Wewe mwandishi mizani yako ya kupimia ina shida...Wewe usieamini dini za kuja onyesha njia Kwa vitendo sio Kwa maneno..Natural resources za Tanzania zinamilikiwa na wageni..Na hawakugawa vitabu vya dini ili kupata hizo nafasi ila walipitia Serikalini E,G TIC...wewe usie na dini za kuja...
  3. Loeb S Mpalasinge

    Mtume Paulo hakuingia katika mahusiano kwa maisha yake yote.

    Wewe unaemzarau mtume Paul unadhani ni kila mtu anamdharau kama Wewe?? Labda Wewe utuambie maisha ya utotoni ya Ibrahim maana habari ya Ibrahim imeandikwa tokea ukubwani na Apostle makini Paul habari zake zimeanza kuandikwa tokea ukubwani hio ndio nilikuwa namaanisha..
  4. Loeb S Mpalasinge

    Mtume Paulo hakuingia katika mahusiano kwa maisha yake yote.

    Nikiwa serious nitakwambia takataka ni Muhammad Yule ndie hawezi kufananishwa.
  5. Loeb S Mpalasinge

    Mtume Paulo hakuingia katika mahusiano kwa maisha yake yote.

    Yeye ni kama Nabii Ibrahim yameelezwa Yale ya msingi Sana yaliomhusu...Suala la hadithi za utoto ujinga nk ni vitu ambayo havina msaada wowote Kwa kile alichokusudiwa kukifikisha Kwa hadhira.
  6. Loeb S Mpalasinge

    Mtume Paulo hakuingia katika mahusiano kwa maisha yake yote.

    Dada Anna hao wanaobisha na kudai kwamba Paulo mtume alikuwa na mke huo uwongo wameutoa kwenye injili ya baraba au imetoka kwenye sahihi al buhar???
  7. Loeb S Mpalasinge

    Mtume Paulo hakuingia katika mahusiano kwa maisha yake yote.

    2 Timotheo 4:6-8 [6]Kwa maana, mimi sasa namiminwa, na wakati wa kufariki kwangu umefika. For I am now ready to be offered, and the time of my departure is at hand. [7]Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda; I have fought a good fight, I have finished my course...
  8. Loeb S Mpalasinge

    Mapito mawili magumu kwa wanaume ndani ya ndoa

    Atakuwa huru Kwa sababu nimekuwa sina bond nae na simfatilii,,Yuko na marafiki toxic namuacha,,sijali anaenda wapi na anarudi saa ngapi,, Sijali yeye kupigiwa simu usiku,,hàpo ndio atakuwa huru na kwenda anavyotaka yeye,,,ila Mimi huwa nazima Moto panapofuka moshi...asipokubali kubadilika...
  9. Loeb S Mpalasinge

    Mapito mawili magumu kwa wanaume ndani ya ndoa

    Hii umekaa vizuri Sana....Mimi nimekuwa na swali moja pia kwamba hao wanawake wazuri wanaweza kuleta mbingu nyumbani wamelelewaje??? Je! Mwanaume ana mchango gani Kwa binti yake kwenda kuwa mke mzuri kule atakapoenda kuolewa?? Au jukumu la kumshape binti kimtazamo,,kihisia na kijamii ni la mama...
  10. Loeb S Mpalasinge

    Sakata la Mtoto aliyelawitiwa Nyakato - Mwanza, RC Mtanda asema kesi imefikishwa Mahakamani na Mtuhumiwa kapelekwa Gerezani

    Hapana sio halali...watoto wote wanapaswa kulindwa na kupendwa,,,ila mwanaume anaejua kwamba yeye ndie anaemfanya mwanaume mmoja kamili kuwa shoga WA kudumu huyu Anatakiwa afanyiwe ukatili ule wazungu wanaita "cold blood treatment'' Anatakiwa afe na maumivu yasioelezeka.
  11. Loeb S Mpalasinge

    Sakata la Mtoto aliyelawitiwa Nyakato - Mwanza, RC Mtanda asema kesi imefikishwa Mahakamani na Mtuhumiwa kapelekwa Gerezani

    Mtu yoyote anaemlawiti Mtoto WA kiume hatakiwi kupelekwa kwenye Sheria...Anatakiwa ajute sana.
  12. Loeb S Mpalasinge

    Tetesi: Iran: Israel inajiandaa kutushambulia

    Mkuu umeniwahi,,japo nukes au atomic zingetumika Kwa Iran,,,Yemen maskini hawahitaji kupigwa na nukes maana wako dhaifu wale hata mabomu ya mapipa yaliyojazwa petrol yanawafaa..Ila kukomesha kiburi cha Iran ndio wanafaa Sana nukes...Hata mkubwa Sadam Hussein aliwaua Kwa sumu kama tetere,,Kwa hio...
  13. Loeb S Mpalasinge

    Mpango wa Greater Israel bado huu hai Netanyahu athibitisha

    Ni mtu asieijua bible kiundani atasema habari ya greater Israel... Israel kumebaki kabila moja Tu la yuda...Makabila mengine 11 yalishapotea na yalipotea na nafasi na ardhi na urithi wao wote...Bila ya kusahau mji WA Jerusalem ulikuwa urithi WA Efraim na Yuda... lakini alieachwa kuutunza ni...
  14. Loeb S Mpalasinge

    Ndugu zangu wa Kristo Unaporudia neno “wokovu” bila kuelewa, unakariri hadithi ya kubuni

    Mwalimu WA kumuelimisha huyu bwana akaelewa lazima awe anatembea na painkiller kama panadol hata ikiwezekana magnesium..
  15. Loeb S Mpalasinge

    Mikoa ambayo dini zimeharibu zaidi akili za watu

    Watanzania ni watu wanaongoza kwa kugeneralize kwamba akifanya kosa mmoja ni kabila lake wote wako hivyo,,au ni dini yake wote wako hivyo....mfano Tanga kuna wachawi kila nyumba!!!! Tanga kuna mashoga kila Kona,,,mbeya kuna kanisa kila nyumba,,,wanawake WA kichaga ni wauwaji,,, wanawake WA...
Back
Top Bottom