Recent content by lobster

  1. L

    DAWASCO kutoa maji mpaka tuwaandike JF?

    Dawasco na Tanesco majanga ya taifa hili. Inakaribia wiki moja sasa maji hayatoki Mbezi Beach area; tunangoja magazeti yalalamike.
  2. L

    Wakenya waongoza kwa kuingia nchini Tanzania kinyemela

    Hii ni nchi ya ajabu sana. Ukichunguza sana unaweza kugundua wote hao unaowataja,wa Kenya, Wahindi etc wanazo work permits kutoka Wizarani. Nilipatwa na shock mwaka mmoja tulipokuwa tunafuatilia vipi wageni fulani wameajiriwa.Lo ni aibu tupu.
  3. L

    Unafiki wa shivji;sababu hii hapa

    Huyu hana njaa , hawa wenzetu ndivyo walivyo wote hao ni kama wewe ambavyo ungefanya kama ungekuwa India otherwise.............ungekiona
  4. L

    Daraja la Mzinga lakatika

    Mtaani kwetu ipo nguzo ya umeme inayo connect njia tano nayo ni mbovu tokea chini mpaka juu inaweza kun'goka au kukatika wakati wowote. Tumeripoti Tanesco wala hawajali,hupita hapa na lori lilojaa nguzo kama hizi wakiwapelelea wenye majina.Jamani mvua hizi tutapona?
  5. L

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumamosi, Tarehe 12 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    Eti imekatika kwa sababu za ukiufundi lkn imetengenea tu baada ya mjumbe huyo kumaliza hotuba yake. Hivo ndio Watanzania hatuna akili? Mimi nimejifunza mengi kwa hayo niliyoyasikia; kumbe wasomi wetu hamna lolote nio maana nchi ipo ilipofika! TBC,please wafanyie Wtz haki zao za msingi wengine...
  6. L

    Ford UK wanatoa magari mazuri na nafuu kuliko Toyota Japan

    Wafanyabiashara wengine humu JF ni waajabu kweli; hivo mnalipia kiasi gani kwenye mtandao kwa kutangazia products za watu.Tungejikita kwenye kutengeneza ya kwetu.Lazima tubadili mfumo wa elimu wajuu.Siasa tu.Maneno mengi tu.
  7. L

    Mdee kutunukiwa tuzo ya kimataifa (mwanamke mwanasiasa jasiri bora Afrika)

    Ninashangaa munamsifu Mdee eti jembe. Aliyependekeza jina la huyu mama kupata 'tuzo' ninamashaka nae na hakuifanyia haki nchi yenu.Mbunge huyu is the most hopeless and unproductive MP Kinondoni has ever had. Alishaona the quality of life ya watu wa Kawe, Mikocheni B na Goba just to mention a few...
  8. L

    Highest Paying Jobs in Tanzania

    Kazi ya Pastor jamanli inalipa zaidi kuliko zote hizo ulizoorodhesha hususan ukifungua kanisa lako mwenyewe na umeengeza aya kwenye bible kuhalalisha Ushoga.Jirani yangu mmoja hapa ni kilielezole tosha.
  9. L

    Tanzania Offered 20 Oil, Gas Scholarships At Scottish University

    Sasa katika hawa 20 haitoshangaza hata kidogo kuona hakuna Mzanzibari hata mmoja na hakuna anaejali. Nani atatufafanulia hili?
  10. L

    Hoja Korofishi: Zanzibar Ipewe Nafasi Kutazamana na Mizimu Yake...

    Inashangaza sana kuona Watanganyika ndio wanaojidai kuijua historia ya Zanzibar kuliko Wazanzibari wenyewe; lengo ni kupotosha kwa makusudi ili kulinda muungano. Wasomi wa kweli watuambie muungano gani duniani umeimarika kwa kutumia uongo? Ukweli ni kwamba Watanganyika tokea mwanzo wa siasa za...
  11. L

    Picha: Rais Jakaya Kikwete na watanzania nchini Uingereza...

    Ninawafahamu wengi huko Uingereza lakini simuoni hata mmoja kwenye picha; na si uingereza tu bali mote anapotembelea hali ni hio hio;hii inamaanisha nini au huwa wanaalikwa wanachama wake wa Tanganyika tu?
  12. L

    Dual Citizenship:- Rais JK Aliporudia Maneno Yangu Jana London/UK!!

    Mimi ningependa kuuliza hapa hivo nchi zote hizo zilizo adopt hii sera ya uraria wa nchi mbili including nchi za Afrika ya Mashariki kama vile Kenya na Uganda walishawishiwa na raia wao wanaoishi nje.Wenzetu hawa waliingiza sera hii moja kwa moja kwenye katiba zao. Mimi ninahisi uchoyo wa...
  13. L

    Maalim Seif: Zanzibar inaweza kuzalisha vitunguu vingi mpaka kuuza nje ya nchi,Kikwete usitutishe

    Kwa ilivyo sasa hii topic ilistahiki kuandikwa kwenye international forum.
  14. L

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    Serikali 3. Mahitaji ya serikali 3 yalikuwepo siku nyingi sana lkn wenye nchi walikuwa wanayapuuza.
  15. L

    CUF yapinga bara kupewa ardhi Z’bar

    ninavyojua mimi ni kwamba wako Watanzania bara wengi tu wenye kumiliki ardhi huko visiwani pamoja na makanisa ambayo ni ya bara; au vp? Kiongozi anaemiliki hecta 500 Morogoro, 300 Bagamoyo, 250 Mbeya na bado anatamaa ya hect 400 Zanzibar ili azihodhi tu haiewzekani.
Back
Top Bottom