Unafiki wa shivji;sababu hii hapa

Unafiki wa shivji;sababu hii hapa

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,327
Reaction score
56,070
kweli njaa mbaya
shivji amestaafu kufundisha udsm ,amestaafu kuwa mwenyekiti wa kigoda cha mwalimu ,yupo kijiweni,ndio chanzo cha kujipendekeza kwa wakubwa wa nchii hii,njaa mbaya ,tumbo kuongoza akili

jana ilikuwa siku nya mwisho ya kigoda cha mwalimu hapa udsm ,prof;shivji alitoa mada ya mchango wa mwanazuoni alisema sifa moja wapo ya mwanazuoni ni kutokuwa kigeugeu lakini yeye alipoulizwa swali kuhusiana na msimamo wake kuhusu idadi ya serikali alikosa jibu na akabaki kuzungukazunguka
 
i once had a great respect kwa huyu muhindi pori....
 
ni masikini kiasi hicho cha kujipendekeza!acha kuongea upuuzi,usiwe kama wale wengi wanaotaka 2 bila kuwa na grounds!!
 
prof;shivji alitoa mada ya mchango wa mwanazuoni alisema sifa moja wapo ya mwanazuoni ni kutokuwa kigeugeu lakini yeye alipoulizwa swali kuhusiana na msimamo wake kuhusu idadi ya serikali alikosa jibu na akabaki kuzungukazunguka
Unaweza ukaeleza jibu (kuzungukazunguka) alivyojibu. Kwa faida ya wengi.
 
Mkuu upo sahihi njaa za viongozi wetu ndo zinazotuathiri, kuanzia viongozi wa chama tawala hadi vyama vya upinzani
 
Shivji Hakutoa jibu la moja kwa moja akabaki kuonesha vitabu alivodai ndo hati za muungano na kudai amevisoma na kwa hiyo anatoa maoni yake kutokana na uchambuzi wake wa vitabu hivyo na kwa kufuata historia yeye kama mwanazuoni asiye kama hawa wasomi wengine aliodai hawajazielewa hati za muungano ama wanapindisha ukweli kwa makusudi na kwa uchu wao wa madaraka..
 
Huyu hana njaa , hawa wenzetu ndivyo walivyo
wote hao ni kama wewe ambavyo ungefanya kama
ungekuwa India otherwise.............ungekiona
 
Si kawaida ya wasomi kutoa conclussive answers, huwa wana analyze na kuweka recommendation, conclussion mtafanya wenyewe.
 
Huyu mhindi pori anatumikia kama vinaniii, sasa leo hata prof. Maji Marefu na mbunge wa misenyi wanamnukuu! Ni hatari sana
 
Back
Top Bottom