Niliwahi kupata ajari na gari yangu ikapinduka baada ya kukamilisha taratibu za kipolisi wakati najichanga nilienda kulihifadhi hilo gari kwenye ghala la Mark Msilu maeneo ya Kisiwani,ana ghala kubwa tu pale na nilikuta gari mbili ambazo alikua kahifadhi hapo,sasa sjui wewe unamuongelea Mark...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.