Recent content by lnx

  1. lnx

    Tetesi: Kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya CHADEMA kuhusu kuacha kuhudhuria vikao vya Bunge. Kuna fukuto la chini kwa chini

    Ni kweli maana kama ni kweli mbona jana walikuwa wanasema wahofia nani atakufa leo. Pia hakuna mtu anayependa kufa japo hatujui saa wala dakika pamoja na wao wakiwa Kama wabunge. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. lnx

    LABOUR DAY: Nimetoka kufuatilia maadhimisho ya Mei Mosi Kenya, hakika Wakenya tembeeni kifua mbele

    Is better than nothing!... Sent using Jamii Forums mobile app
  3. lnx

    TANZIA TANZIA: Balozi Augustine Philip Mahiga, Waziri wa Katiba na Sheria amefariki dunia

    Wanapokufa wazee kama hawa, hakika kama taifa tunakosa vingi toka kwao Pumzuka kwa amani mzee mahiga. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. lnx

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wazo zuri[emoji120] Sent using Jamii Forums mobile app
  5. lnx

    Vitu vitano ambavyo hautokuja kuvifanya tena

    Serious!? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. lnx

    Vitu vitano ambavyo hautokuja kuvifanya tena

    Kivipi na mtoto wa mtu wa kiumeni au wa kike? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. lnx

    Mwana FA: Baada ya kukaa Karantini kwa siku 28 nimepona kabisa Corona na nitagombea ubunge kupitia CCM mwaka huu

    Na bora agombee tu ili wazee kama hao na wengine wapishe damu changa, kazi yao ni kwa kwaa kwaaa hata pasipo sitahiri!... Sent using Jamii Forums mobile app
  8. lnx

    Nimejenga ujenzi rahisi kwa Milioni 7 tu

    Hongera sana lakini nadhani pia inatemegea na eneo ulipo. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. lnx

    Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

    Hata hivyo hawa ma TO, kwa uelewa wangu mdogo asipopata usimamizi mzuri kwa maana ya kumuelekeza au kumuongoza nini afanye wapi na kwa wakati gani mara nyingi huwa wanapata shida sana kutoka maana wanakuwa wanajiamini kupita kiasi. Kwahiyo hali kama hiyo inawafanya kupuuza au kuchukulia poa...
  10. lnx

    SUGU: Mahakama Kuu imesema nilifungwa kihuni, nikikamata ndege msiseme Mimi sio mzalendo

    Huenda wewe ndiyo una strees, maana kaongea ukweli mtupu na anastahili kupewa ubunge au wewe umesikia alichokisema hakitokei hapa nchini kwetu!? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. lnx

    Maisha yamekuwa magumu kwa waalimu shule binafsi

    Naam, na mimi pia nilitaka kuuliza hili maana kama unamkataba unalipwa kama kawaida. Lakini kama ulikuwa unajitolea hapo sawa. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. lnx

    Mbunge wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare (Chadema) kustaafu Siasa, aaga bunge

    Wewe kweli una IQ ndogo,hujui kuwa huyo katumia democrasia yake vizuri ndani ya chama chake. Lakini pia kaona kuna vijana wengi ambao wanaweza kwenda na kasi ya kiasa iliyopo nchini kwa sasa siyo kama chama tuwala wazee na vikongwe wanakomaa kukalia majimbo hadi vijana wanakosa teuzi za...
  13. lnx

    Kauli za sasa za Waziri wa Afya Ummy Mwalimu kuhusu CORONA zimeshaanza Kuzua 'taharuki' nchini, hivyo ama adhibitiwe au ajiuzuru upesi

    Sijui hawaoni wenzie wa nchi jirani namna wanavyotoa taarifa kwa umma!? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. lnx

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Wakuja Maswa yeye aje Morogoro Sent using Jamii Forums mobile app
  15. lnx

    Mkutano wa Kimataifa wa Madini: Waziri mwenyeji Biteko anaongea Kiswahili bila mkalimani!

    Nilifuatilia kidogo asubuhi kipindi prof. Lumba anaongea kabla ya umeme kuondoka hapa kijijini kwetu. Msemaji mkuu wa mkutano huo prof.kitila alikuwa anamkaribisha Prof.mkende akisema atafasiri alichokisema prof. Lumba,na alitumia kiswahili huku akitolea mifano halisi kutoka kwenye speech ya...
Back
Top Bottom